political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
denooJ hii I'd yako?Huyu walimuonea wakamuondoa bila sababu yoyote ya msingi, aliifanya Simba Sc ikacheza mpira mzuri sana, nikikumbuka mpira tuliocheza tukiwafunga Nkana 3-1 kwa Mkapa tukaingia makundi ya Klabu Bingwa Afrika, na game nyingine tukawafunga Vita Club ya Congo, pale ndipo Simba ilikuwa haswa kwenye ubora wake.
Aussems alitengeneza mpaka wachezaji vijana wakawa tishio, alikuwepo Miraji Athuman super sub matata sana, kila akiingia uwanjani anafunga, leo hata sifahamu kijana yuko wapi, yote haya ni kwasababu ya ujuaji wa Mo. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa haya majanga yanayotukuta sasa, kila kocha anayekuja hamalizi miaka miwili.
Rashid Juma kijana mdogo aliaminiwa na angekuwepo leo hii angekuwa mchezaji mkubwa sana ila makocha waliokuja nyuma yake walikuwa wanapanga wachezaji kwa kukaririHuyu walimuonea wakamuondoa bila sababu yoyote ya msingi, aliifanya Simba Sc ikacheza mpira mzuri sana, nikikumbuka mpira tuliocheza tukiwafunga Nkana 3-1 kwa Mkapa tukaingia makundi ya Klabu Bingwa Afrika, na game nyingine tukawafunga Vita Club ya Congo, pale ndipo Simba ilikuwa haswa kwenye ubora wake.
Aussems alitengeneza mpaka wachezaji vijana wakawa tishio, alikuwepo Miraji Athuman super sub matata sana, kila akiingia uwanjani anafunga, leo hata sifahamu kijana yuko wapi, yote haya ni kwasababu ya ujuaji wa Mo. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa haya majanga yanayotukuta sasa, kila kocha anayekuja hamalizi miaka miwili.