Tujikumbushe mastaa wa Bongo ambao hawapikiki chungu kimoja

Tujikumbushe mastaa wa Bongo ambao hawapikiki chungu kimoja

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Mimi naanza na Jide na Mwana FA!

Hakuna msanii ambae amefanya collabo nyingi na Mwana FA kama Lady Jay Dee a.k.a komando Jide.
Kama wasemavyo wahenga, rafiki yako mkubwa anaweza akawa adui yako na ndio hivyo kwasasa Jide na FA ni chui na paka!

Unaweza ukaendelea na orodha hii...
 
Juma nature, inspector haroon. Dudu bays, Mr. Nice , t.o.t, twanga pepeta.
 
Mimi naanza na Jide na Mwana FA!

Hakuna msanii ambae amefanya collabo nyingi na Mwana FA kama Lady Jay Dee a.k.a komando Jide.
Kama wasemavyo wahenga, rafiki yako mkubwa anaweza akawa adui yako na ndio hivyo kwasasa Jide na FA ni chui na paka!

Unaweza ukaendelea na orodha hii...
Ni vile tu haupo update, hao uliowataja wameshamaliza tofauti zao
c9b4b6d1d468f1c2a6a854d02e94a7fd.jpg
 
Mimi naanza na Jide na Mwana FA!

Hakuna msanii ambae amefanya collabo nyingi na Mwana FA kama Lady Jay Dee a.k.a komando Jide.
Kama wasemavyo wahenga, rafiki yako mkubwa anaweza akawa adui yako na ndio hivyo kwasasa Jide na FA ni chui na paka!

Unaweza ukaendelea na orodha hii...
Uongo Huu Juzi Hapa Wamepeform Pamoja Mlimani. Kama Bifu Limeanza Leo Sikubishii.
 
Back
Top Bottom