Tujikumbushe matumizi ya baadhi ya maneno ya kingereza yaliokuwa yakitumika nyakati zile

Tujikumbushe matumizi ya baadhi ya maneno ya kingereza yaliokuwa yakitumika nyakati zile

laii

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2016
Posts
843
Reaction score
1,094
So far watu kumi wameshachangia...
So far tupo wanachama 20....
Of course nimepitishia bandari ya mombasa...why not Bwana. .
Hahaha worry not ntaclear hii balance...
Check na mtu wa jikoni atukatie mbavu nzima..mbuzi ya jana ilikua superb. ..

Karibuni mjazie vijimanenoo
 
Mwambie, direct usimuogope, nilienda by foot. Nilibakiwa na keep change ndogo sana, yule 'bogaz' tu, utanicall nikuambie inshu,
 
Tuta meet kesho wangu, wait kidogo, Tuta discuss baadae now na drive, nipo road
 
Back
Top Bottom