MSHUKU WA MANGI
Member
- May 7, 2012
- 18
- 4
Kabeho,Alnoor kasum,Khan,Pius N'gwandu,JacksonHivi wale wenzangu na mimi mnawakumbuka hawa?
1.Waziri wa Fedha Amiri Jamal
2.Waziri wa Afya Aaron Chiduo
3.Waziri wa Sheria Julie Marning
4.Waziri wa maji na nishati Al noor Kassum
5.Waziri wa Ujenzi Samwel J Sitta
6.Waziri wa Kazi Alfred Tandau
7.Waziri wa Elimu Thabitha Siwale
8.Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje Benjamin Mkapa
9.Waziri wa Sheria na Mwanaheria mkuu wa Serikali Joseph Sinde Warioba.
10.Waziri wa Kilimo Joseph Mungai
.
.
.........mwenye kuwakumbuka zaidi aongezee jamani.
Hivi wale wenzangu na mimi mnawakumbuka hawa?
1.Waziri wa Fedha Amiri Jamal
2.Waziri wa Afya Aaron Chiduo
3.Waziri wa Sheria Julie Marning
4.Waziri wa maji na nishati Al noor Kassum
5.Waziri wa Ujenzi Samwel J Sitta
6.Waziri wa Kazi Alfred Tandau
7.Waziri wa Elimu Thabitha Siwale
8.Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje Benjamin Mkapa
9.Waziri wa Sheria na Mwanaheria mkuu wa Serikali Joseph Sinde Warioba.
10.Waziri wa Kilimo Joseph Mungai
.
.
.........mwenye kuwakumbuka zaidi aongezee jamani.
Umechanganya mawaziri kutoka serikali tofauti. Kwa mfano, Mkapa alipokuwa waziri wa mambo ya nchi za nje, Jullie Manning hakuwa waziri.[/QUOTEÍ
Mada ni kujikumbÙsha mawaziri wa zamani, mbona unataka tukuone unajua mahala ambapo hapahitaji ujuaji wako?
Umechanganya mawaziri kutoka serikali tofauti. Kwa mfano, Mkapa alipokuwa waziri wa mambo ya nchi za nje, Jullie Manning hakuwa waziri.[/QUOTEÍ
Mada ni kujikumbÙsha mawaziri wa zamani, mbona unataka tukuone unajua mahala ambapo hapahitaji ujuaji wako?
Unaweza kuniambia mantiki ya kuwa na historia isiyotenganishwa zama zake? Lengo la hoja yako ni nini; kutaja tu au kuwaelimisha watu?
Unaweza kuniambia mantiki ya kuwa na historia isiyotenganishwa zama zake? Lengo la hoja yako ni nini; kutaja tu au kuwaelimisha watu?
Mtoa hoja hakutuambia tutenganishe zama, ila wewe kama uliona inafaa kufanya hivyo kwa faida fulani ungefanya lakini sio kuingilia watu waliokuwa wanachangia mada kama ilivyotaka, tujikumbushe mawaziri wa zamani, full-stop mtoa hoja hakuweka utenganisho unaoutaka wewe