Tujikumbushe nahau na methali za lugha ya kisukuma

Tujikumbushe nahau na methali za lugha ya kisukuma

Charles Gerald

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
1,403
Reaction score
1,837
Jamani wakati tunakua tulikuwa tuna ganilwa nahau na methali mbalimbali za kisukuma na
bibi na babu zetu, hata sisi wenyewe wakati tunachunga tulikuwa na mchezo wa kugani methali na mwingine anatoa jibu. Naona kulingana na mabadiliko mbalimbali watoto wetu na uhakika kwa asilimia zote hawazijui hizi nahau na methali.
Sasa ndugu zangu wale ambao wanakumbuka hizi methali hebu tuzishushe hapa ikiwa Ni mojawapo ya kuikuza lugha yet.
Mfano wa hizo methali/ nahau
1. Tingi tingi mumbuga lugendo lo banamala
2. Kaja kazulile kushoka kazwalile lukaranga
Haya shusha methali yoyote unayoijua.
 
Back
Top Bottom