Kichangiri
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 331
- 675
Nianze mimi mwenyewe
Siku ya kwanza nimeingia kwenye kituo cha mwendokasi aisee sitokaa niisahau. Baada ya kupewa tiketi kwenye kuiscan ile tiketi palinitoa jasho. Akanisaidia dada mmoja mrembo sana. Kwenye kuingia sasa nilijikuta nanyanyua lile chuma nkidhani linafungukia juu nikakaa hapo dakika moja nzima hadi nkaona wa pembeni yangu kaingia. Ilibidi nisubiri kituoni ndani hadi nihakikishe wote walioniona wamepanda magari na kuondoka ndipo na mimi nikapanda
Embu tushirikishane ni kipi kimewahi kukutoa ushamba hutokisahau?
Siku ya kwanza nimeingia kwenye kituo cha mwendokasi aisee sitokaa niisahau. Baada ya kupewa tiketi kwenye kuiscan ile tiketi palinitoa jasho. Akanisaidia dada mmoja mrembo sana. Kwenye kuingia sasa nilijikuta nanyanyua lile chuma nkidhani linafungukia juu nikakaa hapo dakika moja nzima hadi nkaona wa pembeni yangu kaingia. Ilibidi nisubiri kituoni ndani hadi nihakikishe wote walioniona wamepanda magari na kuondoka ndipo na mimi nikapanda
Embu tushirikishane ni kipi kimewahi kukutoa ushamba hutokisahau?