Kichangiri
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 331
- 675
Kumbe tunafanana mkuu,Siku ya kwanza kula tunda...... Niliitafuta sana kwa mbele, kumbe imejificha kwa nyuma.
Hii wengi hadi now wanafanya,sidhani kama ni ushambaMara ya kwanza kuendesha gari nilikuwa natumia miguu miwili kucheza Na automatic transmission wa kulia una accelerate wa kushoto una break[emoji23][emoji23][emoji23] kweli ushamba mzigo
Wapo wanaofanya Ila still Ni ushamba mkuuHii wengi hadi now wanafanya,sidhani kama ni ushamba
Mmh. Ushamba tena wakati ndio uendeshaji wao wa kila sikuWapo wanaofanya Ila still Ni ushamba mkuu
Mkuu umeyishaFirst time naenda kunyoa saloon, baada ya kumaliza nikajua kuwa ukinyolewa unatakiwa uzoe nywele zako uondoke ukazitupe mwenyewe. Nikaanza kuzoa, jamaa akaniambia acha tu nitazoa dogo...
Kwa kweli sikurudigi tena ile saloon (Fina Bar Ngokolo Shinyanga)