Tujikumbushe ni mwaka gani ulimaliza shule ya msingi?

Dah mkuu usinikumbushe album hiyo,ndo album yangu ya kwanza kununua

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaa mkuu mie nilikua sina hela lakini hii album nilinunua, home walikoma niliiza chupa za soda na bia ilinipate pesa ya kununua hii album
Ishu nipale Maza alipokua anataka kusigina karanga,chupa hazionekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…