Tujikumbushe ni mwaka gani ulimaliza shule ya msingi?

Hahahahaa mkuu mie nilikua sina hela lakini hii album nilinunua, home walikoma niliiza chupa za soda na bia ilinipate pesa ya kununua hii album
Ishu nipale Maza alipokua anataka kusigina karanga,chupa hazionekani
Hahahahah Noma sana
 
Hahahahaa mkuu mie nilikua sina hela lakini hii album nilinunua, home walikoma niliiza chupa za soda na bia ilinipate pesa ya kununua hii album
Ishu nipale Maza alipokua anataka kusigina karanga,chupa hazionekani
Haha ha noma sana
 
Humu kuna vitoto jamani,,,duu!!

Wote humi nawazaa haki ya nani
 
Hahahahaa mkuu mie nilikua sina hela lakini hii album nilinunua, home walikoma niliiza chupa za soda na bia ilinipate pesa ya kununua hii album
Ishu nipale Maza alipokua anataka kusigina karanga,chupa hazionekani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…