Njalamatata
JF-Expert Member
- Jul 12, 2010
- 293
- 154
Hivi Fred Felix Minziro hakuwa na nickname?
Steven Nemes je?
Pia kuna hawa wengineo...
Iddi Moshi 'Mnyamwezi'
Ally Moshi 'Bwana Harusi
Halafu sasa ukute Majina hayo watangazaji ni Juma Nkamia na Swedi Mwinyi enzi za RTD. Hawa Jamaa kwa kurusha Moyo si mchezo mpira upo katikati tayari pumzi zinawaishia kwa kutangaza hatari. Na mpira wa Tanzania ni Mtamu kwenye redio. Hawa watangazaji walifanya watu waupende mpira sana. Siku hizi mmmh!
Hamis Gaga ndio alikua Gagarino?
Athumani Kilambo alikuwa Yanga kabla ya 1974, Maulidi Dilunga (Yanga), Abbas Dillunga (Simba), Mohamed Chuma wa MtwaraNa hawa wachezaji wa enzi hizo unawakumbuka:
Sharrif TPC,Hemedi Seif TPC,Mbwana Bushiri TPC,Sembwana TPC,Kadu TPC,Marshed Seif TPC,Sefu TPC,Chuma MTWARA,Kilambo,Kilomoni,Dilunga,Sembuli,Gobbos,hao wote kutoka DAR
Ndio.
Ni marehemu, kazikwa kwao MORO
Fred Felix Kataraiya hiyo Minziro ndo nick name yake
Na hawa wachezaji wa enzi hizo unawakumbuka:
Sharrif TPC,Hemedi Seif TPC,Mbwana Bushiri TPC,Sembwana TPC,Kadu TPC,Marshed Seif TPC,Sefu TPC,Chuma MTWARA,Kilambo,Kilomoni,Dilunga,Sembuli,Gobbos,hao wote kutoka DAR
Namba 9; hakutumia jina hilo zama zake za uchezaji!
Wote Abdalah Kibadeni..
king mputa...nasikia jamaa alipewa uchifu Songea kwa soka tu...
Hamis Gaga ndio alikua Gagarino?
Namba 9; hakutumia jina hilo zama zake za uchezaji!
Abdallah Kibadeni "King of the Ground"
Charles Boniface Mkwasa "Master"
Juma Pondamali "Mensah"
George Kulagwa "Best"
Elias Michael "Springs"
Said Mwamba "Kizota"
Juma Mkambi "General"
Makumbi Juma "Homa ya Jiji"
Zamoyoni Mogella "Golden Boy"
Iddy Moshi ni kaka wa Boban
Mchezaji pekee aliyetia Hat-trick katika Kariakoo Derby
Pia ni kocha mzalendo mwenye mafanikio makubwa katika soka la vilabu barani Africa. Aliifikisha Simba Sc fainali ya kombe la Shirikisho mnamo mwaka 1993.