Tujikumbushe: Sababu za Marekani kumuua Col Ghadafi

Tujikumbushe: Sababu za Marekani kumuua Col Ghadafi

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,370
Reaction score
3,962
Vikosi vya NATO vilimuondoa madarakani kwa nguvu za kijeshi kwa madai kua alikua anawaua wananchi wake kwa kuwashambulia kwa ndege,mmmh!

Hivi wao ni wasafi na wana uchungu sana na bara Afrika na mustakabali wake?Hapana.

Col Ghadafi alipanga kuanzisha sarafu moja kwa Africa Nzima na ndugu zake wa Arabia.African Dinar ilikua ije kua mbadala wa dola ya Marekani.Dinar ingekua imelengeshwa na Gold( thamani yake kutegemea dhahabu).

Hili jambo lingewafanya mataifa makubwa yenye kiu na rasilimali za Afrika na Arabia( mafuta,madini,mazao etc) kuitafuta hii Dinar na mwisho wa siku kuishusha nguvu dola na nduguze na kuinua Dinar kama sarafu ya Dunia.

Mtu yeyote atakae cheza na maslahi yao , lazima aondoshwe kwa gharama yoyotw ile.Halafu meneja wa kiwanda Obama akisema anajutia kumuondoa Ghadafi,aseme tu wazi kua wamiliki wa kiwanda hawakupenda mpango wa Ghadafi.
 
Baada juhudi za Marekani kutaka kupata uwekezaji wa kutosha kwenye Mafuta nchini Libya kufail, suruhisho ilikuwa ni kumwondoa Ghadafi marekani na kupandikiza puppet regime ambayo ingeweza kuserve their Economic interest.
 
Baada juhudi za Marekani kutaka kupata uwekezaji wa kutosha kwenye Mafuta nchini Libya kufail, suruhisho ilikuwa ni kumwondoa Ghadafi marekani na kupandikiza puppet regime ambayo ingeweza kuserve their Economic interest.
Kwa hali ilivyo maslahi ya marekani yapo salama? Sababu nchi imejaa vikundi vya waasi kila kona.

Threat ilikua ni one currency,wangeitafuta sana ili wanunue rasilimali zetu na kuiongezea value hiyo dinar na dola inge depriciate.Hii ingewainua Waafrika sana na dezo dezo ingeisha

Na attach video inafika 90% inagoma.[emoji35] [emoji34]
Baada juhudi za Marekani kutaka kupata uwekezaji wa kutosha kwenye Mafuta nchini Libya kufail, suruhisho ilikuwa ni kumwondoa Ghadafi marekani na kupandikiza puppet regime ambayo ingeweza kuserve their Economic interest.

Baada juhudi za Marekani kutaka kupata uwekezaji wa kutosha kwenye Mafuta nchini Libya kufail, suruhisho ilikuwa ni kumwondoa Ghadafi marekani na kupandikiza puppet regime ambayo ingeweza kuserve their Economic interest.
 
Vikosi vya NATO vilimuondoa madarakani kwa nguvu za kijeshi kwa madai kua alikua anawaua wananchi wake kwa kuwashambulia kwa ndege,mmmh!

Hivi wao ni wasafi na wana uchungu sana na bara Afrika na mustakabali wake?Hapana.

Col Ghadafi alipanga kuanzisha sarafu moja kwa Africa Nzima na ndugu zake wa Arabia.African Dinar ilikua ije kua mbadala wa dola ya Marekani.Dinar ingekua imelengeshwa na Gold( thamani yake kutegemea dhahabu).

Hili jambo lingewafanya mataifa makubwa yenye kiu na rasilimali za Afrika na Arabia( mafuta,madini,mazao etc) kuitafuta hii Dinar na mwisho wa siku kuishusha nguvu dola na nduguze na kuinua Dinar kama sarafu ya Dunia.

Mtu yeyote atakae cheza na maslahi yao , lazima aondoshwe kwa gharama yoyotw ile.Halafu meneja wa kiwanda Obama akisema anajutia kumuondoa Ghadafi,aseme tu wazi kua wamiliki wa kiwanda hawakupenda mpango wa Ghadafi.


Usiwasingizie Wamarekani, anti Christ Obama na Hillary Clinton ndiyo waliomuua Gadafi! Wamarekani ni watu wazuri!
 
Usiwasingizie Wamarekani, anti Christ Obama na Hillary Clinton ndiyo waliomuua Gadafi! Wamarekani ni watu wazuri!
Hao ni puppets tu ndio maana nawafananisha na plant managers,kumbuka kuna plant owners.
 
Wng wa viongozi wa Afrika cwapendi ni madikteta lkn huyu gadafi alikuwa a good dictator ningekuwa raia wa libya nisingeunga mkono aondoshwe hadi mahari unapewa ili uowe,katu hamuwezi kumlinganisha huyu na madictator wa wngn afrika km huyu bwana hapa kazi tuu,hata mlo mmoja tabu alafu mtu unamsupport mtu km huyu,hatuna hakika na mwengine anaetaka tumchague lkn tunahope kwa kuwa tu hatukuridhika hali iliyopo tuache kung'ang'ania tawala mbovu tuombe mungu upate mwngn,GADAFF HAFANANI KABISAA MTUKUFU RAIS WETU ni km mcha mungu na muasi wa mungu
 
mm ni mpinzani na ckumpigia kura huyu mh wetu,lkn nilimpenda sn awali lkn baadae nilimtoa maanani kwa uamuzi wk wa kufuta shughuli za siasa zisiende icpokuwa siasa ya ccm chama chake huu ni UDIKTETA
 
Natamani NATO iingie zanzibar ikiondoe hchi kiditeta uchuro shein na wavunjilie mbali muungano tanganyika izaliwe upya chini utawala mpya na znz iwe sovereign state,kisha tanganyika na znz ziwe na shirikisho mfano wa EAC basi ucwepo huu muungano wa aina hii hatufanani geographical,cultural,economical and political,we are different to join as one entity
 
Muungano wa znz na tanganyika kisiasa ni wa viongozi na kijamii ulikuwepo kabla ya huu wa kisiasa kuja kwa sbb znz na tngnyk ni majirani hvy social interaction lzm ila hii polical interaction sio lzm ikiwa mmoja c muadilifu
 
Vikosi vya NATO vilimuondoa madarakani kwa nguvu za kijeshi kwa madai kua alikua anawaua wananchi wake kwa kuwashambulia kwa ndege,mmmh!

Hivi wao ni wasafi na wana uchungu sana na bara Afrika na mustakabali wake?Hapana.

Col Ghadafi alipanga kuanzisha sarafu moja kwa Africa Nzima na ndugu zake wa Arabia.African Dinar ilikua ije kua mbadala wa dola ya Marekani.Dinar ingekua imelengeshwa na Gold( thamani yake kutegemea dhahabu).

Hili jambo lingewafanya mataifa makubwa yenye kiu na rasilimali za Afrika na Arabia( mafuta,madini,mazao etc) kuitafuta hii Dinar na mwisho wa siku kuishusha nguvu dola na nduguze na kuinua Dinar kama sarafu ya Dunia.

Mtu yeyote atakae cheza na maslahi yao , lazima aondoshwe kwa gharama yoyotw ile.Halafu meneja wa kiwanda Obama akisema anajutia kumuondoa Ghadafi,aseme tu wazi kua wamiliki wa kiwanda hawakupenda mpango wa Ghadafi.
IMG-20160407-WA0002-2.jpg
 
Hata hayo maandamano NATO/CIA ndio waliyachochea.
Mkuu lazima kujua pamoja na libya kuwa na machafuko ya leo lakin sidhan km watu wa benghazi wamemmiss hata kdg coz aliwakandamuza sn sn na ndio maana wao ndo walikua wakwanza kuingia barabaran kumpinga gadaffi,hii kitu ya kutopendana na inayowatafuna waarabu......sometym kulaum marekan haisaiidii sana km waarabu wataendelea kubehave hvyo.....kumbk umoja wa waarabu ndio waliotoa greenlight kwa nato libya..kumbuka pia ni umoja wa waarabu ulipendelea marekan ikampige assad....mataifa ya kiarabu yamekua yakiitumia sana marekan kufanikisha agenda pale middle east...watu watabaki kulialia na marekan tuu wakat wanawaoverlook GCC
 
Mkuu lazima kujua pamoja na libya kuwa na machafuko ya leo lakin sidhan km watu wa benghazi wamemmiss hata kdg coz aliwakandamuza sn sn na ndio maana wao ndo walikua wakwanza kuingia barabaran kumpinga gadaffi,hii kitu ya kutopendana na inayowatafuna waarabu......sometym kulaum marekan haisaiidii sana km waarabu wataendelea kubehave hvyo.....kumbk umoja wa waarabu ndio waliotoa greenlight kwa nato libya..kumbuka pia ni umoja wa waarabu ulipendelea marekan ikampige assad....mataifa ya kiarabu yamekua yakiitumia sana marekan kufanikisha agenda pale middle east...watu watabaki kulialia na marekan tuu wakat wanawaoverlook GCC
Katika watu ambao hawakutakiwa kumkosoa Kanali,ni hao wa Benghazi.

Huo mji ulikua ni jangwa tupu ila Kanali aliubadilisha na kuufanya wa kijani.alitengeneza skimu ya umwagiliaji kubwa kuliko zote duniani.

Waliotoa green light ni UN security council ambapo katika kipindi cha uvamizi South Afrika ndio alikua member wa zamu wa kipindi hicho na yeye alipiga kura kuidhinisha uvamizi. Kwa hiyo hapo mchawi ni South Afrika.

Mmoja wa wanachama wa jumuiya ya waarabu mwenye nguvu kubwa ni Saudia,na Marekani anamtumia sana huyu kufanikisha fitna zake panapohitajika.
 
Katika watu ambao hawakutakiwa kumkosoa Kanali,ni hao wa Benghazi.

Huo mji ulikua ni jangwa tupu ila Kanali aliubadilisha na kuufanya wa kijani.alitengeneza skimu ya umwagiliaji kubwa kuliko zote duniani.

Waliotoa green light ni UN security council ambapo katika kipindi cha uvamizi South Afrika ndio alikua member wa zamu wa kipindi hicho na yeye alipiga kura kuidhinisha uvamizi. Kwa hiyo hapo mchawi ni South Afrika.

Mmoja wa wanachama wa jumuiya ya waarabu mwenye nguvu kubwa ni Saudia,na Marekani anamtumia sana huyu kufanikisha fitna zake panapohitajika.
Hapo marekan,france,uk na south ni wachaw lakin kuna wachaw wawili russia na china,hawa ni watu wa kulaumiwa sana kwan mmoja kati ya hawa angeweza kuveto ili kublock uvamizi ule haram na kutoa nafas ya diplomasia kufanyika,lakn cha ajabu hawa wajomba wao waliabstain tu hvyo kutoa green light kwa ile invasion.....kuna parts nyng ambazo km zingekuwa na upendo wa dhati na walibya basi libya isingefika huku ilipo..tumeona mara ngapi marekan ameveto maadhimio ya UNSC kuikingia kifua israel?...mara ngapu china na russia zimeveto maadhimio ya UNSC kuikingia kifua syria?mara ngapi russua imeveto maadhimuo ya UNSC kuhusu serbia? Ni wakat wa viongoz wa africa kuish vizur na wananchi wao na wasidanganywe na mataifa makubwa c marekan russia au china wote hawa they are just using us..leo hii wazimbabwe wanaandamana mugabe anasema anajua tu watu wanaandamana kwasababu ya marekan!!!ifike kipnd watu waache kujificha nyuma ya marekan km excuse wajaribu kusolve matatizo kwenye nchi yao yanayotoa mwanya kwa mataifa ya nje kuja kuingilia
 
Back
Top Bottom