jaribu kuweka link ya video ,mkuu, kama inawezekanaKwa hali ilivyo maslahi ya marekani yapo salama? Sababu nchi imejaa vikundi vya waasi kila kona.
Threat ilikua ni one currency,wangeitafuta sana ili wanunue rasilimali zetu na kuiongezea value hiyo dinar na dola inge depriciate.Hii ingewainua Waafrika sana na dezo dezo ingeisha
Na attach video inafika 90% inagoma.[emoji35] [emoji34]
Labda mkuu...[emoji4] [emoji4]Ndio yule Rais wa Kuwait au mwingine?
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Wng wa viongozi wa Afrika cwapendi ni madikteta lkn huyu gadafi alikuwa a good dictator ningekuwa raia wa libya nisingeunga mkono aondoshwe hadi mahari unapewa ili uowe,katu hamuwezi kumlinganisha huyu na madictator wa wngn afrika km huyu bwana hapa kazi tuu,hata mlo mmoja tabu alafu mtu unamsupport mtu km huyu,hatuna hakika na mwengine anaetaka tumchague lkn tunahope kwa kuwa tu hatukuridhika hali iliyopo tuache kung'ang'ania tawala mbovu tuombe mungu upate mwngn,GADAFF HAFANANI KABISAA MTUKUFU RAIS WETU ni km mcha mungu na muasi wa mungu
Anakopi na kupest kutoka kwa jambazi kagame.mm ni mpinzani na ckumpigia kura huyu mh wetu,lkn nilimpenda sn awali lkn baadae nilimtoa maanani kwa uamuzi wk wa kufuta shughuli za siasa zisiende icpokuwa siasa ya ccm chama chake huu ni UDIKTETA
Mkuu amka kumekucha we bado umelala tu ndo maana bado unaota ndoto za uharo tu...amka[emoji3] [emoji3] [emoji3]Natamani NATO iingie zanzibar ikiondoe hchi kiditeta uchuro shein na wavunjilie mbali muungano tanganyika izaliwe upya chini utawala mpya na znz iwe sovereign state,kisha tanganyika na znz ziwe na shirikisho mfano wa EAC basi ucwepo huu muungano wa aina hii hatufanani geographical,cultural,economical and political,we are different to join as one entity
Hakuna relation ya comment yako na Uzi huumm ni mpinzani na ckumpigia kura huyu mh wetu,lkn nilimpenda sn awali lkn baadae nilimtoa maanani kwa uamuzi wk wa kufuta shughuli za siasa zisiende icpokuwa siasa ya ccm chama chake huu ni UDIKTETA
Wanyamwezi walipelekwa Zanzibar wakiwa watumwa sasa hivi wanasema hawafanani na watu wa bara kwa chochote. Hata sisi hatuutaki pia muungano kaunganeni na waarabu ambao mnafikiri watawasaidiaNatamani NATO iingie zanzibar ikiondoe hchi kiditeta uchuro shein na wavunjilie mbali muungano tanganyika izaliwe upya chini utawala mpya na znz iwe sovereign state,kisha tanganyika na znz ziwe na shirikisho mfano wa EAC basi ucwepo huu muungano wa aina hii hatufanani geographical,cultural,economical and political,we are different to join as one entity
Mungu akuone maana hujui ulisemaloNatamani NATO iingie zanzibar ikiondoe hchi kiditeta uchuro shein na wavunjilie mbali muungano tanganyika izaliwe upya chini utawala mpya na znz iwe sovereign state,kisha tanganyika na znz ziwe na shirikisho mfano wa EAC basi ucwepo huu muungano wa aina hii hatufanani geographical,cultural,economical and political,we are different to join as one entity
Vikosi vya NATO vilimuondoa madarakani kwa nguvu za kijeshi kwa madai kua alikua anawaua wananchi wake kwa kuwashambulia kwa ndege,mmmh!
Hivi wao ni wasafi na wana uchungu sana na bara Afrika na mustakabali wake?Hapana.
Col Ghadafi alipanga kuanzisha sarafu moja kwa Africa Nzima na ndugu zake wa Arabia.African Dinar ilikua ije kua mbadala wa dola ya Marekani.Dinar ingekua imelengeshwa na Gold( thamani yake kutegemea dhahabu).
Hili jambo lingewafanya mataifa makubwa yenye kiu na rasilimali za Afrika na Arabia( mafuta,madini,mazao etc) kuitafuta hii Dinar na mwisho wa siku kuishusha nguvu dola na nduguze na kuinua Dinar kama sarafu ya Dunia.
Mtu yeyote atakae cheza na maslahi yao , lazima aondoshwe kwa gharama yoyotw ile.Halafu meneja wa kiwanda Obama akisema anajutia kumuondoa Ghadafi,aseme tu wazi kua wamiliki wa kiwanda hawakupenda mpango wa Ghadafi.