Tujikumbushe: Sheikh ali muhsin barwani mmoja wa wapigania uhuru wa zanzibar

Tujikumbushe: Sheikh ali muhsin barwani mmoja wa wapigania uhuru wa zanzibar

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
TUJIKUMBUSHE: SHEIKH ALI MUHSIN BARWANI MMOJA WA WAPIGANIA UHURU WA ZANZIBAR

Historia ni mwalimu tosha
Huwezi kuijua leo yako ikiwa huifahamu jana yako
Akudanganyae historia ya nchi yako
Ana lake jambo afichalo.

ZDu_tcL44sInB5Squy6d_xNPetNWvp0p940_8HXbvHYClXF0XMrMn0fo_nSSk1NCKhEAhXIYL4X9Glt2L6LaX_os58klgYxCxgCBRhM3Ei5lOntFl7RMzu03bkomM1cAVC350oHv9GCnJSD0
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa U Thant akisalimiana na Waziri
Mkuu wa Zanzibar Mohamed Shamte na Waziri wa Mambo ya Nchi za
Nje Ali Muhsin
DSCN1128.JPG




DSCN0851.JPG

Mtangazaji wa Azam TV Wasiwasi Mwabulambo akimhoji Mwandishi kuhusu historia ya Mapinduzi
ya Zanzibar

mohamed%2Bsaid%2B2.jpg

Meneja wa Radio Kheri Hassan Abdulla akimhoji Mwandishi​

Ingia hapo chini:
Mohamed Said: MAISHA YA SIASA YA SHEIKH ALI MUHSIN BARWANI (1919 - 2006) - KUMBUKUMBU YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
 
Inabidi Bakwata wakuajiri mzee wetu, unafanya kazi kubwa sana ya kuandika historia ya waislamu ila wao wanachukulia poa wanasahau kuwa hata Roma , Anglican na makanisa mengineyo makubwa yanamiliki vitengo maalum vya historia na propaganda.
 
Back
Top Bottom