Tujikumbushe, ulishawahi kuacha au kuachwa kwaajili ya kichongeo kipya?

Mtini

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
1,492
Reaction score
2,361
Niko bored facebk makondo, jf makonda, magazetini makonda, twitter, whatsup, insta yaani huko kote ni makonda utadhani hakuna habari nyingine.

Bora tukumbushane mambo yetu ya nyuma tucheke turefresh mind. Back to the topic, ULISHAWAHI KUACHA/KUACHWA KWAAJILI YA KICHONGEO KIPYA? hebu tujuze nn kilijiri enz hizo
 
Mimi sijawahi! Ila Daudi aliwahi kuacha jina lake na kununua la Paulo kwasabbu alipata zero kwenye matokeo ya kidato cha nne Pamba sec.kule mwanza
 
Mm niluiachwa kisa skiua na hela ya pipi mbomboo
 
Hebu tumuulize kwanza Bashite maana hadi jina aliacha.
 
Niko njiani naelekea koromije mvua inanyesha sana ila nina uhakika nitafika tu
 
ULISHAWAHI KUACHA/KUACHWA KWAAJILI YA KICHONGEO KIPYA?

mkuu hilo neno Kichongeo hata sijui umemaanisha kitu gani maana hizi akili zangu zimeenda mbali sana yani [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kichongeo huchonga penseli unajua ........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…