Tujikumbushe vituko,ugomvi na mikasa mbalimbali tuliyokumbana nayo wakati tunasoma.

Tujikumbushe vituko,ugomvi na mikasa mbalimbali tuliyokumbana nayo wakati tunasoma.

Mockingbird

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2018
Posts
434
Reaction score
1,043
Nakumbuka tuliwahi pigana hadi wengine wakalazwa kisa ugomvi mpirani baada ya wanafunzi wa shule nyingine kuanza kuwashika makalio wadada wa shule kwetu.
Wew ni mikasa gani ulikuta nao iwe mapenzi,Ugomvi,kuchezea stiki,Kupigania demu,Kukaa vichakani nk.
Let's share.
 
Kuna siku tulipigana ngumi na bodaboda wa mtaa tuliokuwepo..walituvamia kwenye birthday party ya classmate wakaanza sumbua wasichana. Asee ndo nikagundua bodaboda wana ushirikiano hatalri. Maana waliitana mabodaboda wa kata karibia nzima. Zilipigwa hadi walimu wakaingilia.

Unajua mikoa ya janda ya kati ilivyo na miti ya miiba..basi rafiki angu mmoja alikimbizwa na bodaboda (Boxer )yuko peku kwenye miiba lakini aliushinda mbio.
 
Mwambie apate pepsi baridi kwa hisani ya Comrade Kipepe
Kuna siku tulipigana ngumi na bodaboda wa mtaa tuliokuwepo..walituvamia kwenye birthday party ya classmate wakaanza sumbua wasichana. Asee ndo nikagundua bodaboda wana ushirikiano hatalri. Maana waliitana mabodaboda wa kata karibia nzima. Zilipigwa hadi walimu wakaingilia.

Unajua mikoa ya janda ya kati ilivyo na miti ya miiba..basi rafiki angu mmoja alikimbizwa na bodaboda (Boxer )yuko peku kwenye miiba lakini aliushinda mbio.
 
Ahah nilikuaga nawategea wenzangu wanapokaa kwenye dawati kabla ajafika naweka biki naiangalizia juu siku ilipita kwa jamaa mpaka ndani
 
Kuna mvulana mmoja alinitandika viboko vya kutosha wakati wa jioni tunatawanyika! Kisa nilimuandika msumbufu! Ile kazi ya monitress HAPANA jamani!!

Mwalimu anipige, wanafunzi wanipige yaani niliona shule ni chungu!!

We jamaa najua upo humu na ni mvaa suti kwa sasa!! Utasoma hapa, nilikusamehe ila sijawahi kusahau!
 
[emoji3][emoji3][emoji3] mamonitress mlikuwa na ngebe sana na kihere here. Ila wengi mlikuwaga ni warembo haswaa.
Kuna mvulana mmoja alinitandika viboko vya kutosha wakati wa jioni tunatawanyika! Kisa nilimuandika msumbufu! Ile kazi ya monitress HAPANA jamani!!

Mwalimu anipige, wanafunzi wanipige yaani niliona shule ni chungu!!

We jamaa najua upo humu na ni mvaa suti kwa sasa!! Utasoma hapa, nilikusamehe ila sijawahi kusahau!
 
Kuna mvulana mmoja alinitandika viboko vya kutosha wakati wa jioni tunatawanyika! Kisa nilimuandika msumbufu! Ile kazi ya monitress HAPANA jamani!!

Mwalimu anipige, wanafunzi wanipige yaani niliona shule ni chungu!!

We jamaa najua upo humu na ni mvaa suti kwa sasa!! Utasoma hapa, nilikusamehe ila sijawahi kusahau!
Kuna montress mmoja alikuwa ananichukua kinoma nipige kelele nisige lazima aniandike tu mpaka kuna siku ambazo hata sijaenda shule chaajabu jina langu lilikuwepo miongoni ya wapiga kelele
 
Kuna montress mmoja alikuwa ananichukua kinoma nipige kelele nisige lazima aniandike tu mpaka kuna siku ambazo hata sijaenda shule chaajabu jina langu lilikuwepo miongoni ya wapiga kelele
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna mvulana mmoja alinitandika viboko vya kutosha wakati wa jioni tunatawanyika! Kisa nilimuandika msumbufu! Ile kazi ya monitress HAPANA jamani!!

Mwalimu anipige, wanafunzi wanipige yaani niliona shule ni chungu!!

We jamaa najua upo humu na ni mvaa suti kwa sasa!! Utasoma hapa, nilikusamehe ila sijawahi kusahau!
Nakumbuka nilikuwa darasa la 6 na mdogo wangu alikuwa la 4 tulikuwa tunasoma shule moja.. Kuna monitress alikuwa anapenda kumuonea dogo, mara amfagilishe darasa mara amuandike 'Noise maker'
Sasa kuna siku dogo akaniletea mashtaka monitress kampiga nikasema huyu monitress leo atajuta..
Saa ya kutoka nikamsubiri nje ya geti la shule.. Nilimpiga makonzi yule dada.. Finya sana.. Nikawa nampiga na mabusu[emoji23] Alikuwa mweupe mpaka akawa mwekundu mpaka akawa analia kwa kwikwi huku akisema ana pumu nimsamehe.[emoji16]

Kesho yake akaenda kunishtaki kwa mwalimu wao
 
Kuna montress mmoja alikuwa ananichukua kinoma nipige kelele nisige lazima aniandike tu mpaka kuna siku ambazo hata sijaenda shule chaajabu jina langu lilikuwepo miongoni ya wapiga kelele
Nimepata sana kesi za kuwapiga hawa
 
Kuna mvulana mmoja alinitandika viboko vya kutosha wakati wa jioni tunatawanyika! Kisa nilimuandika msumbufu! Ile kazi ya monitress HAPANA jamani!!

Mwalimu anipige, wanafunzi wanipige yaani niliona shule ni chungu!!

We jamaa najua upo humu na ni mvaa suti kwa sasa!! Utasoma hapa, nilikusamehe ila sijawahi kusahau!

Ma-monitress walijiona wamepatia sana maisha...full kujiona deputy walimu.

Ila niliwagonga sana kupata favours ndogo ndogo
 
Kuna mvulana mmoja alinitandika viboko vya kutosha wakati wa jioni tunatawanyika! Kisa nilimuandika msumbufu! Ile kazi ya monitress HAPANA jamani!!

Mwalimu anipige, wanafunzi wanipige yaani niliona shule ni chungu!!

We jamaa najua upo humu na ni mvaa suti kwa sasa!! Utasoma hapa, nilikusamehe ila sijawahi kusahau!
oooooooooooooooooooooooh
 
Kuna montress mmoja alikuwa ananichukua kinoma nipige kelele nisige lazima aniandike tu mpaka kuna siku ambazo hata sijaenda shule chaajabu jina langu lilikuwepo miongoni ya wapiga kelele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna montress mmoja alikuwa ananichukua kinoma nipige kelele nisige lazima aniandike tu mpaka kuna siku ambazo hata sijaenda shule chaajabu jina langu lilikuwepo miongoni ya wapiga kelele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna watu walikua ni mabingwa wa kukimbia misala ukitokea ugomvi anapotea kama jini wamkuta kalala Hostel. Tulikimbiza usiku wa saa 6 na matofali mikononi...
Hapo tulishapigani vyupa mpaka baasi.
 
Nakumbuka siku moja enzi hizo sekondari a level, tulikiwa tunapangiana zamu ya kudeki darasa.
Huyo mkaka mmoja, wale wanaojikuta wababe wakishamba akasimama akasema 'siwezi kudeki darasa ili hali kuna wasichana humu ndani'. Aisee kiliniuma na na ninavyojikuta kiherehere cha kutetea haki za wanawake nikasimama.
Nikasema, 'we unavyotuona sisi huku darasani ni mama zako tukuchambe mpaka m*vi?'
Akanifuata akaniambia 'umesemaje we mwanamke?' 😂😂 kumbuka hapo nilikuwa nina tetemeka manake huyu jamaaa ni mrefu ana mwili mkubwa.
Nikamjibu 'we ni kiziwi au?'
Alininasa hilo bao nikasikia kizunguzungu. Nilipandwa na hasira haswa. Alivyogeuka tu anarudi kukaa niliruka na kumpiga teke la mgongo akaenda kujigonga uso ukutani.😅😅😅
Ndo classmates ikabidi waingilie kati tafrani mpaka head of school akatupatanisha.
Nikikumbuka huwa na cheka tu mwenye kwasababu sielewi hilo teke lilikujaje kujaje. Ila tulikuja kupatana na tukawa marafiki tena wa karibu tu.
 
Nakumbuka nilikuwa darasa la 6 na mdogo wangu alikuwa la 4 tulikuwa tunasoma shule moja.. Kuna monitress alikuwa anapenda kumuonea dogo, mara amfagilishe darasa mara amuandike 'Noise maker'
Sasa kuna siku dogo akaniletea mashtaka monitress kampiga nikasema huyu monitress leo atajuta..
Saa ya kutoka nikamsubiri nje ya geti la shule.. Nilimpiga makonzi yule dada.. Finya sana.. Nikawa nampiga na mabusu[emoji23] Alikuwa mweupe mpaka akawa mwekundu mpaka akawa analia kwa kwikwi huku akisema ana pumu nimsamehe.[emoji16]

Kesho yake akaenda kunishtaki kwa mwalimu wao
Muone kwanza
 
Back
Top Bottom