Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Asante kwa kunikumbushaAlienda World Cup moja tu akapiga goli 13 katika mashindano ya mwaka 1958 pale Sweden
Upi?Naona watu mmeingiza utani
Wanatajwa walioacha soka wakiwa wakongwe, mfano OkochaUpi?
NakaziaWanatajwa walioacha soka wakiwa wakongwe, mfano Okocha
Allen shearer akiwa namiaka 29 tu
Michael platini alistaafu akiwa na umri wa miaka 33
Kelvin keegan akiwa na 33
Didier deschamps ambaye ndio kocha wa France wa sasa alistaafu akiwa na umri wa miaka 32 tu,
Jurgen klinsman alistaafu akiwa na umri wa miaka 33,
Frank rijkaard aliyewahi kua kocha wa Barcelona alistaafu soka akiwa na umri wa miaka 32 tu.
Ryan Mason
Kwa wale waliocheki gemu ya Tottenham vs Chel3 ya tarehe 22/1/2018.
Huyu jamaa alipigwa kichwa na Gary Cahill.
Amestaaf akiwa miaka 26
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38]Molinga a.k.a pipa la wanzuki.
Ulevi kupindukia umeua kipaji chakeSaid Bahanuzi