Miongoni mwa visa wa watani wa Jadi ni kuchuana kunasa saini za wachezaji wanaotamba kwenye vilabu mbalimbali nje na ndani ya Tanzania. Kuna wachezaji kadhaa ambao walilipiwa ticket za Ndege, Basi, Taxi, nk nk na Timu ya Msimbazi lkn walipotua tu Jijini walinaswa na watani zao Yanga na hivyo Simba kuishia kunawa, Tujikumbushe Visa hivyo;
1. Pius Buswita kutoka Mbao FC ........ "yanga ni kuzuri"
2. Malimi Busungu kutoka Mgambo JKT........ "simba ni wababaishaji"
3. Deus Kaseke Kutoka Mbeya City ............... "simba hawaeleweki"
4. Mbuyu Twite kutoka Congo .............. "naangalia maslahi"
5. Paul Nonga .................. "Yanga ndio saizi yangu"
Mdogo wangu Ngosha Buswita ukitaka kujua laana ya usaliti watafute hao wenzio uwaulize kilichowakuta! Ongezeeeni waliomtema Mnyama wakaja kujuta kama Malimi Busungu anavyolialia kule Lipuli, ukikaa naye unaweza kumwombea poo kwa Hanspope kwa kosa alilofanya.
1. Pius Buswita kutoka Mbao FC ........ "yanga ni kuzuri"
2. Malimi Busungu kutoka Mgambo JKT........ "simba ni wababaishaji"
3. Deus Kaseke Kutoka Mbeya City ............... "simba hawaeleweki"
4. Mbuyu Twite kutoka Congo .............. "naangalia maslahi"
5. Paul Nonga .................. "Yanga ndio saizi yangu"
Mdogo wangu Ngosha Buswita ukitaka kujua laana ya usaliti watafute hao wenzio uwaulize kilichowakuta! Ongezeeeni waliomtema Mnyama wakaja kujuta kama Malimi Busungu anavyolialia kule Lipuli, ukikaa naye unaweza kumwombea poo kwa Hanspope kwa kosa alilofanya.