Tujikumbushe 'wachumba' wetu wa utotoni

Kaunga,sijawahi kumkumbusha,ni mama wa watoto wawili ama ameolewa!
 
Kaunga,sijawahi kumkumbusha,ni mama wa watoto wawili ama ameolewa!

Looks like, wote mnapretend nothing happened! Ila sijui nini, ila naona hii kitu huwa ni kati ya watoto wa shangazi na wajomba kuliko baba Mdogo au mama Mdogo!
 
I know! Yaani natamani sasa kukutana nao! Najua wengine pengine watakuwa wanakaribia kujukuu sasa!

Ukikutana nao impression ya kwanza ni siku ile ulipowado na kadude chenye ukubwa wa kidole kidogo! Lol!
 
Pwani itakuwa chini ya minazi tuu! Utoto bwana!
minazi, miembe...utoto mbaya sana. Basi wenyewe wakati wa 'ku-do' kuna kisauti fulani hivi unatoa!
 
Nikisema visa vinanifuata watu wandhani aah, sijui mie mkorofi.

Kuchagua lazima.

Imagine huyo childhood secret admire wake ndio angekuwa mwenzi wako wa ndoa now; l am sure hiyo avatar yako ingekuwa halisi. LOL
 
Dah, mwana, long time kitambo..mi nakmbuka 'bimamu' kanibaka sana tu, alnzd kama aka 4 hv...nw KAOLEWA, nlkua hta sielew knachoendelea zaid ya kugandamiziwa chn tu!
 
Namkumbuka mchumba wangu Jafari wa Kinondoni..alikuwa mkubwa kwangu na kupenda kunitania mchumba, hatuku-do chochote bali utani wa mtaani utotoni. Nimeonana nae mwaka jana ghafla baada ya kupoteana miaka 10. Tunaishia kucheka ya zamani na ananiita switi potato sasa, mweeh!!
 
Hapo kwenye avatar mbona mzuri sana.

Sijui ningeshakuwa mlevi wa kupindukia.

Imagine huyo childhood secret admire wake ndio angekuwa mwenzi wako wa ndoa now; l am sure hiyo avatar yako ingekuwa halisi. LOL
 

Naona ulikuwa unawaringishia kuwa umetoka Dar ukampata 'binamu' lol
 



Huyu Jafari huyu, ulimpenda ee? Maana najua wanaume hatunaga dogo, si ajabu akata ku-rewind kidogo
 
Umenikumbusha mbali,,'m nimecheza sana mpaka nikawa nasahau kula yaaan..,'dah kitu neema namkumbuka sana saa hivi yuko zake 'MOROGORO'
 
mi mchumba angu wa utotoni alikua mbabu mmoja hivi nilikua namchukia,nilikua namchimba mama yangu mkwara kuwa sitaki kuolewa na hili libabu,mama yangu anacheka hadi anakaukia anasema penda usipenda keshakutolea mahari lazima akuoe,nilikua nalia,na mbabu naye akija kwetu kitu cha kwanza lazima aulize mchumba wangu cheusie yuko wapi hahhaaaa nilivyoingia secondary mbabu akataka kufanya kweli eti ngombe azeeki maini duuu,sina uhakika kama bado anaishi maskini yule mbabu wa watu.
 
Siku hizi eti mtu au mtoto wa mtu amuite mwanangu NGINA au CANTA Mchumba....................PATACHIMBIKA, na nitahakikisha namfungulia Jalada pale OysterbayPolisi Fasta......................
Sipendi kabisa mchezo huo, zamani ilikuwa ni utani tu, lakini siku hizi wanafanya kiukwelii.......................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…