johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tujikumbushe Wanasayansi wa Asili Dr Mandondo (Tanga), Dr Mwakipande(Makete), Dr Chapotela( Mwanza) na Prof Bulaya & Sheikh Yahya( Dsm)
Waafrika tuna Sayansi zetu ambazo zimesaidia na kutoa mwongozo kwa maisha ya Wanasiasa wakubwa na Wafanyabiashara maarufu
Huwezi kutenganisha utajiri wa Wakinga na Warombo na muujiza ya Mwakipande
Wanasiasa na Wanamichezo wa Tanga kwa mfano wanatembelea nyota ya Dr Mandondo
Kazi za mtaalamu wa nyota Shehe Yahya zinajulikana Afrika nzima
Hata hapa JF Kazi za Mshana jr zinapongezeka
Sayansi Asili itumike kuleta maendeleo siyo kudumaza wengine
Waafrika tuna Sayansi zetu ambazo zimesaidia na kutoa mwongozo kwa maisha ya Wanasiasa wakubwa na Wafanyabiashara maarufu
Huwezi kutenganisha utajiri wa Wakinga na Warombo na muujiza ya Mwakipande
Wanasiasa na Wanamichezo wa Tanga kwa mfano wanatembelea nyota ya Dr Mandondo
Kazi za mtaalamu wa nyota Shehe Yahya zinajulikana Afrika nzima
Hata hapa JF Kazi za Mshana jr zinapongezeka
Sayansi Asili itumike kuleta maendeleo siyo kudumaza wengine