dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
R.i.p
Reginald Mengi
Julius Nyaisanga
Misanya Bingi
Moses Justine
Rehema Mwakangale
John Ngayoma
Amina molelMwaka 1994 Radio One FM Stereo ilikua radio station binafsi ya pili kuanzishwa baada ya Radio Tumaini iliyoanzishwa kwa majaribio mwaka 1993.
Ni dhahiri ilitokea kuteka Dar Es Salaam yote pamoja na mikoa mingine mitano ambayo ilianza nao kusikika yaani Dodoma, Kilimanjaro, Arusha, Mwanza na Tanga.
Ubunifu pamoja na Watangazaji machachari uliibeba sana Radio One Stereo enzi za 1994 hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 ambapo ilikua haina mshindani licha ya kuongezeka kwa idadi ya radio station za binafsi apa DarEsSalaam na mikoani pia.
Kwa sasa watangazaji "wakongwe" waliobakia Radio One ni watatu tu, Aboubakar Sadiq-alitokea East Africa FM(Sikuhz yaitwa East Africa Radio),Deo Rweyunga pamoja na Abdallah Mwaipaya -alitokea PRT(Sikuhz inaitwa TBC FM)
Wafuatao ni baadhi ya watangazaji wa Radio One wa enzihizo waliotengeneza njia ya kizazi kipya cha utangazaji Tanzania;
-Mike Mhagama
-Taji Liundi
-Master Voice
-DJ Ommy
-DJ JD
-Aboubakar Liongo
-Abdallah Majura
-Rose Chitala
-Asia Mohammed
-Flora Nducha
-Leila Muhaji
-Janet Sostheness
-Sos B
-Basil Mbakile
-Masoud Masoud
-Mikidadi Mahmoud
-Amina Saleh
-Misanya Bingi
Ongezea na wengine.
Radio Tumaini sio ya kwanza kuanzishwa ni ya pili radio Tanzania ndio radio yakwa nza kuanzishwa enzi ya nyuma sana kwa sababu kama sikosei 1955 maana siku ya uhuru ilikuwa inatoa matangazo yake tu tulipoungana na zanzibar bado ilitoa matangazo yake mama na mwana nikipindi ninachokipenda sanaa enzi hizo.
Ndio mkuuWote hao wamekufa?
Mwaka 1994 Radio One FM Stereo ilikua radio station binafsi ya pili kuanzishwa baada ya Radio Tumaini iliyoanzishwa kwa majaribio mwaka 1993.
Ni dhahiri ilitokea kuteka Dar Es Salaam yote pamoja na mikoa mingine mitano ambayo ilianza nao kusikika yaani Dodoma, Kilimanjaro, Arusha, Mwanza na Tanga.
Ubunifu pamoja na Watangazaji machachari uliibeba sana Radio One Stereo enzi za 1994 hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 ambapo ilikua haina mshindani licha ya kuongezeka kwa idadi ya radio station za binafsi apa DarEsSalaam na mikoani pia.
Kwa sasa watangazaji "wakongwe" waliobakia Radio One ni watatu tu, Aboubakar Sadiq-alitokea East Africa FM(Sikuhz yaitwa East Africa Radio),Deo Rweyunga pamoja na Abdallah Mwaipaya -alitokea PRT(Sikuhz inaitwa TBC FM)
Wafuatao ni baadhi ya watangazaji wa Radio One wa enzihizo waliotengeneza njia ya kizazi kipya cha utangazaji Tanzania;
-Mike Mhagama
-Taji Liundi
-Master Voice
-DJ Ommy
-DJ JD
-Aboubakar Liongo
-Abdallah Majura
-Rose Chitala
-Asia Mohammed
-Flora Nducha
-Leila Muhaji
-Janet Sostheness
-Sos B
-Basil Mbakile
-Masoud Masoud
-Mikidadi Mahmoud
-Amina Saleh
-Misanya Bingi
Ongezea na wengine.
Deogratius Mshigeni muongezee hapo.Mwaka 1994 Radio One FM Stereo ilikua radio station binafsi ya pili kuanzishwa baada ya Radio Tumaini iliyoanzishwa kwa majaribio mwaka 1993.
Ni dhahiri ilitokea kuteka Dar Es Salaam yote pamoja na mikoa mingine mitano ambayo ilianza nao kusikika yaani Dodoma, Kilimanjaro, Arusha, Mwanza na Tanga.
Ubunifu pamoja na Watangazaji machachari uliibeba sana Radio One Stereo enzi za 1994 hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 ambapo ilikua haina mshindani licha ya kuongezeka kwa idadi ya radio station za binafsi apa DarEsSalaam na mikoani pia.
Kwa sasa watangazaji "wakongwe" waliobakia Radio One ni watatu tu, Aboubakar Sadiq-alitokea East Africa FM(Sikuhz yaitwa East Africa Radio),Deo Rweyunga pamoja na Abdallah Mwaipaya -alitokea PRT(Sikuhz inaitwa TBC FM)
Wafuatao ni baadhi ya watangazaji wa Radio One wa enzihizo waliotengeneza njia ya kizazi kipya cha utangazaji Tanzania;
-Mike Mhagama
-Taji Liundi
-Master Voice
-DJ Ommy
-DJ JD
-Aboubakar Liongo
-Abdallah Majura
-Rose Chitala
-Asia Mohammed
-Flora Nducha
-Leila Muhaji
-Janet Sostheness
-Sos B
-Basil Mbakile
-Masoud Masoud
-Mikidadi Mahmoud
-Amina Saleh
-Misanya Bingi
Ongezea na wengine.
Marehemu huyu alikuwa anajua sana. Huyu na JD ndio walikuwa na uwezo wa ku_mix ngoma ile kuifasaha.DJ Rankim Ramadhani.
DJ Rankim Ramadhani.