Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV


Nitafutie audio ya haya matangazo ntakulipa dau nzuri sana.
 
the good days are over, the best days are now!
 
Baba yake juma katia viraka vinauliza umekuja lini nimekujaa janaaaa narudi leooo maendeleeoooooooo viraaaakaaa viraaaaaaaka viraaa aaakaaa aaaaaaa [emoji28] [emoji1] [emoji28] [emoji1] [emoji28] [emoji1] [emoji28] [emoji1] [emoji28] [emoji1] [emoji28] [emoji1] [emoji1]
 
Jangala mwanae aliitwa Mshamu [emoji1]hizo nyimbo nakumbuka asubuhi jua la asubuhi la pendeezaaaa jua jua juaaaaaa daaah.... Pia wimbo wa muongo na mulozi ni watu wa kuchoomaaaaa
 
Siku hizi hawa Facebook wanasikiliza akina kibonde na wazee wa kukojoza basi
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Jangala mwanae aliitwa Mshamu [emoji1]hizo nyimbo nakumbuka asubuhi jua la asubuhi la pendeezaaaa jua jua juaaaaaa daaah.... Pia wimbo wa muongo na mulozi ni watu wa kuchoomaaaaa
Ninatizama dirishani ohoo, naona ni mvua inanyesha oho hakuna kilichobakia oho ila ni huzuni na uchungu ehe, mwingine ni Asha usifate mambo ya dunia asha wewe kumbuka wemaaa Tabora jazz. Tulikuwa tunakacha Math siku nyingine na physics ili kusikia vigongo hivyo. Mhu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…