M Mutukwao JF-Expert Member Joined Aug 7, 2011 Posts 211 Reaction score 25 Nov 22, 2011 #1 Ee bwana nasema panda juu.
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Nov 22, 2011 #2 Nani alikua kipanga wenu pale? Nasikia vipanga walikua wanapelekwa UK niliwasikia wenyewe wanasema sasa sijui ni kweli au ni tea?
Nani alikua kipanga wenu pale? Nasikia vipanga walikua wanapelekwa UK niliwasikia wenyewe wanasema sasa sijui ni kweli au ni tea?
C cilla JF-Expert Member Joined Jul 15, 2011 Posts 372 Reaction score 299 Nov 22, 2011 #3 sitamsahau mwalimu wangu mwl. Mpande.nasikia alipata ajali miezi michache iliyopita
N nard Member Joined Nov 10, 2011 Posts 28 Reaction score 28 Nov 23, 2011 #4 ajali ya nini na anaendeleaje kulingana na taarifa za wadau? Vp Mghamba yeye anasemaje!
Sanja JF-Expert Member Joined Nov 7, 2010 Posts 501 Reaction score 228 Nov 23, 2011 #5 Dah asee... Ile shule kabla hawajaichakachua ilikuwa ni kambi ya mafunzo iliyojitosheleza. Wazee wa Azimio na mchakamchaka na usafi ilikuwa kwa mbinde. MP alikua anapaita ushenzini.
Dah asee... Ile shule kabla hawajaichakachua ilikuwa ni kambi ya mafunzo iliyojitosheleza. Wazee wa Azimio na mchakamchaka na usafi ilikuwa kwa mbinde. MP alikua anapaita ushenzini.
LINCOLINMTZA JF-Expert Member Joined Mar 15, 2011 Posts 1,639 Reaction score 519 Aug 20, 2012 #6 Eee bwanaaaaa huniwezi mimiiiiiiiiiii.
Ja60 JF-Expert Member Joined Aug 5, 2012 Posts 276 Reaction score 177 Aug 20, 2012 #7 Mpande xaiv hayuko kazn toka ile ajal.! Anajhusisha na mambo ya chrisc kwa xana..