TRIPLE H
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 651
- 349
Wadau,
Nataka tujikumbushe jambo hili kwa sababu wengi tuliopita shule za msingi na hata sekondari kila shule ilikuwa na majina bandia kwa walimu wa somo la hesabu/hisabati.Kwa mfano pale s/m Mugabe (sinza) mwl. wetu wa hisabati sisi darasa la sita tulimuita 'mibuti' kwa sababu kama angeuliza swali likakushinda au angetoa kazi usiifanye ungesikia anang'aka 'nitakulima mibuti' na pale loyola mwl. wetu wa 'mathe' tulimuita 'sequence' kwa kuwa aliifundisha mada hii kwa ufanisi zaidi.
Wewe kama ulipitapita school japo kidogo mwalimu wako kuna a.k.a/id fulani mlimpa.Jikumbushe kwa kutaja shule na 'id' ya mwalimu husika.Cheerio!!!
Nataka tujikumbushe jambo hili kwa sababu wengi tuliopita shule za msingi na hata sekondari kila shule ilikuwa na majina bandia kwa walimu wa somo la hesabu/hisabati.Kwa mfano pale s/m Mugabe (sinza) mwl. wetu wa hisabati sisi darasa la sita tulimuita 'mibuti' kwa sababu kama angeuliza swali likakushinda au angetoa kazi usiifanye ungesikia anang'aka 'nitakulima mibuti' na pale loyola mwl. wetu wa 'mathe' tulimuita 'sequence' kwa kuwa aliifundisha mada hii kwa ufanisi zaidi.
Wewe kama ulipitapita school japo kidogo mwalimu wako kuna a.k.a/id fulani mlimpa.Jikumbushe kwa kutaja shule na 'id' ya mwalimu husika.Cheerio!!!