Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Huyu jamaa ilikuwa ni kama kila siku kwenye taarifa ya habari unakutana na visanga vyake.
Mara mahakamani, mara sijui wamezinguana na TFF, mara analalamika anaonewa, etc.
Nafikiri tunaweza kumuweka yeye kuwa mmoja kati ya watu waliokuwa na visanga vingi mahamakani hapa bongo.
Mara mahakamani, mara sijui wamezinguana na TFF, mara analalamika anaonewa, etc.
Nafikiri tunaweza kumuweka yeye kuwa mmoja kati ya watu waliokuwa na visanga vingi mahamakani hapa bongo.