Alitaabika sanaAdhabu ya kufungiwa maisha kujihusisha na soka bado haijaisha muda wake? Ila huyu jamaa alipambana hasa kwenya kupata fursa za kuongoza mambo ya soka akaishia kupewa adhabu ya kufungiwa maisha asijihusishe na mambo ya mpira. Bora akajiingize kwenye siasa, tena siasa za upinzani huenda akatimiza ndoto zake za kuwa kiongozi bora wa umma
Haha Alikuwa akilala anaota mahakam
Alikuwa kundi la waharibifu wa mpira wa miguu. Yeye na mwenzake Jamal Malinzi na Kaburu. Waliongoza mpira wakati fulani wadhamini wakakosa confidence ya kuwekeza. Toka wafungiwe Sasa hivi mpira umetulia.Moja kati ya watu waliokuwa na uchungu na soka la Tanzania tangu ikiitwa FAT (TFF) lakini manyangau na malafi ya kushibisha matumbo yao yakamuundia mizengwe.
๐๐๐๐Huyu jamaa kuna kipindi alikua katibu wa Tff na mwenyekiti alikua Ndolanga walikua hawapatani kabisaHuyu jamaa ilikuwa ni kama kila siku kwenye taarifa ya habari unakutana na visanga vyake.
Mara mahakamani, mara sijui wamezinguana na TFF, mara analalamika anaonewa, etc.
Nafikiri tunaweza kumuweka yeye kuwa mmoja kati ya watu waliokuwa na visanga vingi mahamakani hapa bongo.
View attachment 2709820View attachment 2709821View attachment 2709822View attachment 2709823View attachment 2709824
Huyu jamaa ilikuwa ni kama kila siku kwenye taarifa ya habari unakutana na visanga vyake.
Mara mahakamani, mara sijui wamezinguana na TFF, mara analalamika anaonewa, etc.
Nafikiri tunaweza kumuweka yeye kuwa mmoja kati ya watu waliokuwa na visanga vingi mahamakani hapa bongo.
View attachment 2709820View attachment 2709821View attachment 2709822View attachment 2709823View attachment 2709824