Tujitokeze kwa wingi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa

Tujitokeze kwa wingi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa

gwamaka aswile

Senior Member
Joined
Mar 26, 2015
Posts
186
Reaction score
106
Ndugu Watanzania, simebaki siku chache kufikia Aprili 30 ambayo ni siku maalum ya kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa. Kwa kuelewa umuhimu wa jambo hilo natoa rai kwa kila mmoja wetu bila kujali itikadi za vyama vyetu kujitokeza kwa wingi katika zoezi hilo.
 
hahaha umekwama ninaenda kupiga kura ya NO
 
Back
Top Bottom