Tujiulize, waliovamia TCU lengo lao hasa lilikua nini?

General mex

Senior Member
Joined
May 1, 2011
Posts
158
Reaction score
185
Kwa kufikiria tu, kwenye ofisi ya TCU hakuna fedha taslimu. Sasa mpaka watu wamejipanga namna hiyo, wawaleweshe walinzi na kuvunja mpaka kuingia ndani na kutoka, ni nini hasa walichoenda kufanya huko?

Haiwezekani mpango mkubwa kama huo ukafanywa na watu wasiolewa ni nini wanaenda kukifanya. Nina mashaka na data za wanafunzi kama zipo salama. Hata kama ziko salama inatakiwa umakini sana kwa maana mtu anaweza ku hack labda kwa ajili ya ku access data kwa baadae.

Nawasilisha hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…