Zee la Mandandu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,064
- 2,603
Leo tutumie platform hii kutambua, kuthamini na kuheshimu majasho ya mama zetu katika kutuandalia maisha yetu ya leo.
Binafsi naheshimu na kutambua thamani za Baba zetu katika kutufanya kuwa tulivyo na nitaleta uzi wa kutambua thamani yao ila leo naomba tutambue harakati za mama zetu katika kutuandalia leo zetu.
Binafsi nimesomeshwa kwa mama kuuza vitumbua na ufugaji wa Nguruwe hadi nikamaliza degree yangu 2008 pale SUA.
Nawe tumia nafasi hii kumsalute mama yako na kutambua pamoja na kuthamini thamani ya jasho lake alilolimwaga ili kukufikisha hapo ulipo.
Binafsi naheshimu na kutambua thamani za Baba zetu katika kutufanya kuwa tulivyo na nitaleta uzi wa kutambua thamani yao ila leo naomba tutambue harakati za mama zetu katika kutuandalia leo zetu.
Binafsi nimesomeshwa kwa mama kuuza vitumbua na ufugaji wa Nguruwe hadi nikamaliza degree yangu 2008 pale SUA.
Nawe tumia nafasi hii kumsalute mama yako na kutambua pamoja na kuthamini thamani ya jasho lake alilolimwaga ili kukufikisha hapo ulipo.