Hata me nlkuwa sijui kumbe kuna mwanaJF anaweza kustahimili kuishi Kigoma!Broo unaishi kigoma kwani we ni mgebuka?
Kwani ni kukavu sana kule au hapana vibe???Hata me nlkuwa sijui kumbe kuna mwanaJF anaweza kustahimili kuishi Kigoma!
Sorry mkuu,kwani hukuwahi kuzijua hila za watu waJF??Kwani ni kukavu sana kule au hapana vibe???
ππππ this made my night!!Hata me nlkuwa sijui kumbe kuna mwanaJF anaweza kustahimili kuishi Kigoma!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wana jf wote tunaishi Dar,sema tutaje mitaa tu,
Buguruni kwa mnyamani, karibuni
ππ½ ID yako inaelezea kila kitu ulichokiandika, hivi watu wa bukoba huwa wana shida gani π€£Nipo dsm Mikocheni B karibu na KFC au palm village
Ndugu zangu was dsm tukutane
Niko Arusha KaratuTujuane mikoa tunayoishi.....ukipata mwenzako msalimie[emoji12]
Kule mtaa mzima mnafahamiana. Ukienda mgeni kila mji wanajua nyumba ya mzee flani ameingia mgeni.Kwani ni kukavu sana kule au hapana vibe???
Nshomile huyo?[emoji1426] ID yako inaelezea kila kitu ulichokiandika, hivi watu wa bukoba huwa wana shida gani [emoji1787]