Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kwahio na mvuvi atembee na ruller ?Kuna hii aibu ya karne siwezi kuisahau.
View attachment 2059432
hadi mteja anatakiwa awe na rula.Kwahio na mvuvi atembee na ruller ?
🤣BUNGE LITAANGALIWA NA WACHAWI
Maua na miti ya x- mass kwenye ofisi za umma sasa mambo ni bambamMambo gani unayakumbuka yalipigwa marufuku wakati wa Utawala wa awamu ya 5.
Mimi naanza na Baa mwisho saa tano usiku.
Karibu uendelee