Tujuzane chochote ujuacho kuhusu Toyota Rush

Tujuzane chochote ujuacho kuhusu Toyota Rush

The_Poxs

Member
Joined
Jul 20, 2015
Posts
51
Reaction score
79
Naomba tujuzane lolote unalolijua au ulilowahi kusikia kuhusu hii gari anaina ya toyota rush ama liwe positive ama negative
 
Hii gari ni nzuri sana kuanzia confirtability, fuel consumption na ukipata ile yenye 4WD unakwenda popote.. ina kaugonjwa sana kwenye steering rake yake. Kati ya watu wenye nayo kila ukiuliza watakuambia hiyo ndio shida sijui walikosea wapi maana huwa inasumbua sana kwenye hizi gar
 
Hii gari ni nzuri sana kuanzia confirtability, fuel consumption na ukipata ile yenye 4WD unakwenda popote.. ina kaugonjwa sana kwenye steering rake yake. Kati ya watu wenye nayo kila ukiuliza watakuambia hiyo ndio shida sijui walikosea wapi maana huwa inasumbua sana kwenye hizi gar

Daihatsu walizingua sana hizi steering. Inavyosumbua huku na kwenye passo ni hivyo hivyo. Ndo ugonjwa wake
 
Hii gari ni nzuri sana kuanzia confirtability, fuel consumption na ukipata ile yenye 4WD unakwenda popote.. ina kaugonjwa sana kwenye steering rake yake. Kati ya watu wenye nayo kila ukiuliza watakuambia hiyo ndio shida sijui walikosea wapi maana huwa inasumbua sana kwenye hizi gar
Kweli nahisi stering haziko vizuri hili na mimi nililiona nikiendesha gari ya rafiki yangu. Haikunipendeza. Lakini ni gari nzuri kwa mwonekano na muundo wake. Inapita barabara aina zote
 
Hii gari ni nzuri sana kuanzia confirtability, fuel consumption na ukipata ile yenye 4WD unakwenda popote.. ina kaugonjwa sana kwenye steering rake yake. Kati ya watu wenye nayo kila ukiuliza watakuambia hiyo ndio shida sijui walikosea wapi maana huwa inasumbua sana kwenye hizi gar
Yes tatizo lake kubwa ni hiyo sterling rek otherwise ni gari nzuri na mafuta hainywi
 
Nimetumia hii gari kwa muda sasa
1. Kudumu (Relibility )
Hii ni gari ambayo haikupi kabisa mawazo hasa kama unazingatia muda wa kufanya service, binafsi haijawahi kunipeleka gereji zaidi ya kumwaga oil na kwenda kufunga radio. Ingawa kuna baadhi ya watu wanalalamika kwamba sterling yake huwa inazingua ila hili tatizo sijawahi kukutana nalo. Kingine inabidi uwe makini, bati la rush linatabia ya kushika kutu, ni vyema uwe unakagua gari yako kupiga red oxide na kurudishia rangi mahali penye tatizo lasivyo kutu itakula body na mwishoni litatoboka.

2. Ulaji wa Mafuta
Hii gari ina ulaji mzuri sana wa mafuta, inaweza kukupa km 13 hadi 15 kwa lita, ukiendesha dar, ila hii inategemea na uendeshaji wako, mimi inanipa matokeo mazuri zaidi nikiwasha OverDrive na huwa sizidishi rpm 2000.

3. Uwezo wa gari
Hii gari kama hujazingua engine lina nguvu ya kutosha, hauihitaji kukanyaga mafuta kwa nguvu kwenye mlima, na hata kama umepakiza watu, kingine nilichopenda kwenye hii gari linabadili gear haraka, hivyo ni rahisi kuchanganya na matumizi madogo ya mafuta. Note: huwezi kulinganisha na gari kama Subaru Forester ila acceleration yake ni nzuri, imezidi kwa mbali sana Rav4 Kili time.

4. Uendeshaji wake
Kabla sijanunua hii gari nilihisi ipo kama toyota cami kwa sababu ya umbo lake, ila ipo tofauti sana. Hii gari ni nzito hata rough road hautahisi mitikisiko mikubwa kama ambavyo ungesikia kwenye cami. Kingine hii gari ipo juu, inakufanya uone barabara vizuri, ukizingatia haina bonnet ndefu sana (kiufupi unaona unapopita).
Barabarani hii gari inatembea vizuri tuu, unauwezo wa kutembea nayo hadi 140 bila shida yoyote ila kuwa makini na kona. Pia hii gari ipo juu hivyo huwezi kugonga bumper wala kugonga chini ukipita rough road.

5. Ushauri wangu
Kama unaagiza jitahidi uchukue lenye km zisizo zidi 70000, hili utakaa nalo sana maana Toyota rush ni gari ambayo haikupi sababu ya kubadili gari ukiwa na matumizi ya kawaida. Hili gari ni ghali, na zinazidi kupanda bei sababu watu wengi wanalitaka, hivyo kuwa makini sana hasa kama utanunua mkononi kwa mtu, binafsi sishauri kununua chini ya 17M kwa mtu, labda kama unalijua, maana siyo kila tatizo utaliona wakati wa kukagua hata kama utaweka diagnosis machine, mfano: kuna mtu aliwahi kuweka kwenye diagnosis machine na haikuonyesha kama transmission control box imekufa, akajikuta ametumia hela nyingi kubadili gear box zima.
 
Nimetumia hii gari kwa muda sasa
1. Kudumu (Relibility )
Hii ni gari ambayo haikupi kabisa mawazo hasa kama unazingatia muda wa kufanya service, binafsi haijawahi kunipeleka gereji zaidi ya kumwaga oil na kwenda kufunga radio. Ingawa kuna baadhi ya watu wanalalamika kwamba sterling yake huwa inazingua ila hili tatizo sijawahi kukutana nalo. Kingine inabidi uwe makini, bati la rush linatabia ya kushika kutu, ni vyema uwe unakagua gari yako kupiga red oxide na kurudishia rangi mahali penye tatizo lasivyo kutu itakula body na mwishoni litatoboka.

2. Ulaji wa Mafuta
Hii gari ina ulaji mzuri sana wa mafuta, inaweza kukupa km 13 hadi 15 kwa lita, ukiendesha dar, ila hii inategemea na uendeshaji wako, mimi inanipa matokeo mazuri zaidi nikiwasha OverDrive na huwa sizidishi rpm 2000.

3. Uwezo wa gari
Hii gari kama hujazingua engine lina nguvu ya kutosha, hauihitaji kukanyaga mafuta kwa nguvu kwenye mlima, na hata kama umepakiza watu, kingine nilichopenda kwenye hii gari linabadili gear haraka, hivyo ni rahisi kuchanganya na matumizi madogo ya mafuta. Note: huwezi kulinganisha na gari kama Subaru Forester ila acceleration yake ni nzuri, imezidi kwa mbali sana Rav4 Kili time.

4. Uendeshaji wake
Kabla sijanunua hii gari nilihisi ipo kama toyota cami kwa sababu ya umbo lake, ila ipo tofauti sana. Hii gari ni nzito hata rough road hautahisi mitikisiko mikubwa kama ambavyo ungesikia kwenye cami. Kingine hii gari ipo juu, inakufanya uone barabara vizuri, ukizingatia haina bonnet ndefu sana (kiufupi unaona unapopita).
Barabarani hii gari inatembea vizuri tuu, unauwezo wa kutembea nayo hadi 140 bila shida yoyote ila kuwa makini na kona. Pia hii gari ipo juu hivyo huwezi kugonga bumper wala kugonga chini ukipita rough road.

5. Ushauri wangu
Kama unaagiza jitahidi uchukue lenye km zisizo zidi 70000, hili utakaa nalo sana maana Toyota rush ni gari ambayo haikupi sababu ya kubadili gari ukiwa na matumizi ya kawaida. Hili gari ni ghali, na zinazidi kupanda bei sababu watu wengi wanalitaka, hivyo kuwa makini sana hasa kama utanunua mkononi kwa mtu, binafsi sishauri kununua chini ya 17M kwa mtu, labda kama unalijua, maana siyo kila tatizo utaliona wakati wa kukagua hata kama utaweka diagnosis machine, mfano: kuna mtu aliwahi kuweka kwenye diagnosis machine na haikuonyesha kama transmission control box imekufa, akajikuta ametumia hela nyingi kubadili gear box zima.
Kaka maelezo yako yapo so helpful nimetoka kwa Ist na ninampango wa kuvuta huo mnyama….

Hope hawa jamaa hawajaachana sn kwny matunzo…

All in all thanks for the recommendation
 
Kaka maelezo yako yapo so helpful nimetoka kwa Ist na ninampango wa kuvuta huo mnyama….

Hope hawa jamaa hawajaachana sn kwny matunzo…

All in all thanks for the recommendation
Thanks,

Kwenye matunzo sidhani kama kuna utofauti wowote, labda matumizi ya mafuta kwenye Rush yanaweza kuwa juu kidogo ya IST hii inakupa 13-14km/L (hii nimejaribu mwenyewe), ila hili ni 2WD kuna yenye AWD yanaweza yakawa na ulaji mkubwa kidogo. Pia engine yake ni 3SZ 1495cc, kama utahitaji yenye ulaji mzuri zaidi kuna ambayo yana cc 1300 yanatumia k3 engine.
Jitahidi tuu kulitunza haliharibiki hovyo, so running costs zake ni ndogo, japo spare zake ni ghali mfano gearbox ya IST unaweza kupata kwa 600k - 800k ila Rush ni 2.5M - 2.7M.
 
Nimetumia hii gari kwa muda sasa
1. Kudumu (Relibility )
Hii ni gari ambayo haikupi kabisa mawazo hasa kama unazingatia muda wa kufanya service, binafsi haijawahi kunipeleka gereji zaidi ya kumwaga oil na kwenda kufunga radio. Ingawa kuna baadhi ya watu wanalalamika kwamba sterling yake huwa inazingua ila hili tatizo sijawahi kukutana nalo. Kingine inabidi uwe makini, bati la rush linatabia ya kushika kutu, ni vyema uwe unakagua gari yako kupiga red oxide na kurudishia rangi mahali penye tatizo lasivyo kutu itakula body na mwishoni litatoboka.

2. Ulaji wa Mafuta
Hii gari ina ulaji mzuri sana wa mafuta, inaweza kukupa km 13 hadi 15 kwa lita, ukiendesha dar, ila hii inategemea na uendeshaji wako, mimi inanipa matokeo mazuri zaidi nikiwasha OverDrive na huwa sizidishi rpm 2000.

3. Uwezo wa gari
Hii gari kama hujazingua engine lina nguvu ya kutosha, hauihitaji kukanyaga mafuta kwa nguvu kwenye mlima, na hata kama umepakiza watu, kingine nilichopenda kwenye hii gari linabadili gear haraka, hivyo ni rahisi kuchanganya na matumizi madogo ya mafuta. Note: huwezi kulinganisha na gari kama Subaru Forester ila acceleration yake ni nzuri, imezidi kwa mbali sana Rav4 Kili time.

4. Uendeshaji wake
Kabla sijanunua hii gari nilihisi ipo kama toyota cami kwa sababu ya umbo lake, ila ipo tofauti sana. Hii gari ni nzito hata rough road hautahisi mitikisiko mikubwa kama ambavyo ungesikia kwenye cami. Kingine hii gari ipo juu, inakufanya uone barabara vizuri, ukizingatia haina bonnet ndefu sana (kiufupi unaona unapopita).
Barabarani hii gari inatembea vizuri tuu, unauwezo wa kutembea nayo hadi 140 bila shida yoyote ila kuwa makini na kona. Pia hii gari ipo juu hivyo huwezi kugonga bumper wala kugonga chini ukipita rough road.

5. Ushauri wangu
Kama unaagiza jitahidi uchukue lenye km zisizo zidi 70000, hili utakaa nalo sana maana Toyota rush ni gari ambayo haikupi sababu ya kubadili gari ukiwa na matumizi ya kawaida. Hili gari ni ghali, na zinazidi kupanda bei sababu watu wengi wanalitaka, hivyo kuwa makini sana hasa kama utanunua mkononi kwa mtu, binafsi sishauri kununua chini ya 17M kwa mtu, labda kama unalijua, maana siyo kila tatizo utaliona wakati wa kukagua hata kama utaweka diagnosis machine, mfano: kuna mtu aliwahi kuweka kwenye diagnosis machine na haikuonyesha kama transmission control box imekufa, akajikuta ametumia hela nyingi kubadili gear box zima.
Asante sana mkuu,
Nipo na rafiki yangu hapa anachallenge kwenye selection imebidi nimtumie hii post yako.
Alianza kutaka Toyota Runx, akabadilisha amekuja kwenye hii Rush na tumesaidizana hadi kubagain huko japan ila sasa hivi naona anakuja na option ya Mitsubishi RVR.

Imebidi niingie JF na kwenye mitandao mingine huko walau kufanya comparison.
 
Back
Top Bottom