Llio 002
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,636
- 2,053
Habari wana jf,
Najua kwa sasa teknolojia imekuwa sana duniani, dhumuni la uzi huu naomba tujuzane fursa tofauti tofauti zilizopo kwenye teknolojia ili na sisi tuzikimbilie kama walivyofanya akina Maxmalipo na wengineo...
Hebu naomba tutililike hapo chini wakuu kwa mafursa mbalimbali
Najua kwa sasa teknolojia imekuwa sana duniani, dhumuni la uzi huu naomba tujuzane fursa tofauti tofauti zilizopo kwenye teknolojia ili na sisi tuzikimbilie kama walivyofanya akina Maxmalipo na wengineo...
Hebu naomba tutililike hapo chini wakuu kwa mafursa mbalimbali