Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,423
- 1,252
Habari wadau.
Embu wajuzi wa haya maeneo tupeane uzoefu katika biashara ya mazao ya kilimo na mifugo lengo ni
1. kujenga rice and maize processing mills na ufugaji kuku wa kienyeji.
AU
2. Food store rice and maize, alimaarufu kama kuficha mazao yakipanda bei unauza.
sijawahi fika maeneo hayo, this july ndo nampango wa kuyatembelea. wapi kuna mazingira rafiki hasa miundombinu, bei na ukarimu wa wenyeji? lengo hapa ni kununua tu sio kulima.
kaaribuni
Embu wajuzi wa haya maeneo tupeane uzoefu katika biashara ya mazao ya kilimo na mifugo lengo ni
1. kujenga rice and maize processing mills na ufugaji kuku wa kienyeji.
AU
2. Food store rice and maize, alimaarufu kama kuficha mazao yakipanda bei unauza.
sijawahi fika maeneo hayo, this july ndo nampango wa kuyatembelea. wapi kuna mazingira rafiki hasa miundombinu, bei na ukarimu wa wenyeji? lengo hapa ni kununua tu sio kulima.
kaaribuni