Tujuzane kuhusu mitandao ya simu nchini

Tujuzane kuhusu mitandao ya simu nchini

stopperjoseph

Senior Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
198
Reaction score
216
Uzi huu maalamu ili watu wajue mtandao upi unakula sana mb za watu bila sababu yaani Gb 1 inatililika bila hta kutegemea. Na mtandao upi ukinunua Mb tu hta za 500 unasahau kama umeweka Bando lako.

Binafsi Vodacom Tanzania nikiweka bando huwa nasahau Kama nimenunua Bando maana haziishi kabisa yaani natumia hadi nachoka.

LETE MAONI YAKO, NI MTANDAO GANI UNAONA UNAKULA MB ZA WATU NA UPI UNABALANCE MB ZA WATU.
 
Halotel ni majizi nilinunua mb 490 za buku kuangalia Salio ni mb 480 huku sijafungua data
 
AIREL NI KIBOKO WAKUU WANAPELESA FASTA HTA SIKATAI MAANA NISHAJALIBU NIKAJUTA KUTIA BANDO AIRTEL TANZANIA.

NIKAHAMIA VODACOM, YANI TOKA NIANZE MAISHA NA VODACOM KIUKWELI HAWA JAMAA NI WAZULI MB HAZIENDI MPKA NAJIULIZAGA AIRTEL WANAIBA VIPI MBONA VODA MB ZINAKAA MPKA NASAHAU
 
Airtel sina hamu nao line nishavunja kitambo sana, maana ilifikia hatua naunga bando nikiwasha tu data napokea ujumbe umebakiza asilimia 75.
Baada ya hapo huna chako
 
Airtel sina hamu nao line nishavunja kitambo sana, maana ilifikia hatua naunga bando nikiwasha tu data napokea ujumbe umebakiza asilimia 75.
Baada ya hapo huna chako
NA NDO KITU KILICHOKUWA KINANITESA MMI IKO. WAMENILA SANA VIMIA MIA VYANGU. SIKUSTHUKA MAPEMA TU KUJA VODACOM
BAADA YA KUSHTUKA NAI ENJOY BANDO LANGU LA BUKU 2 NAKULA MAISHA NASAHAU KAMA NILIWEKA VOCHA SIKU 4 NYUMA
 
Airtel naunga bando la mwezi GB7 kila wiki yaani kila Baada ya siku tano naunga tena kama na kuwa nina kazi ya maana ya kufanya kwa mtandao ila sehemu kubwa huwa natumia
Kusoma emails
Kuperuzi JF
Facebook kidogo
Whatsapp

Nashangaa aise
AIRITEL kweli hawa ni air maana ni kama upepo zinaisha shwaa!
Mitandao yote wanapiga ila hawa jamaa kiboko
 
Airtel naunga bando la mwezi GB7 kila wiki yaani kila Baada ya siku tano naunga tena kama na kuwa nina kazi ya maana ya kufanya kwa mtandao ila sehemu kubwa huwa natumia
Kusoma emails
Kuperuzi JF
Facebook kidogo
Whatsapp

Nashangaa aise
AIRITEL kweli hawa ni air maana ni kama upepo zinaisha shwaa!
Mitandao yote wanapiga ila hawa jamaa kiboko
Aisee
 
Tigo Business and Airtel Business Bundles try them. 3k 1.5Gb 5k 3.5Gb 10k 7.5 Gb for a week
 
Back
Top Bottom