Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AlishahamishwaKwa mkuu wa wilaya
atakaekutana nae sio lazima mteule....maana kataka sehemu sio mtuAlishahamishwa
Kisarawe town.. kule vijijini msanga Maneromango masaki vikumburu malui chole kote huko Nina uzoefu hapo sana. Nauliza kuhusu kisarawe Center hapo.Kisarawe hii hii!? Nje ya msitu wa kizimzumbwi sidhani kama Kuna sehem ya starehe mi huwa nachukua mahindi nakaa hapo minaki nakula ikiisha narejea dar ila kwa hewa safi na yenye kuvutia plus utulivu kisarawe ni unbeatable 🙌🙌🙌🙌
Nami nimekujibu kwa experience ya kisarawe center pale ni hakuna KIWANJA Cha starehe ila labda pub ndogo ndogo mfano ukiwa unaelekea kwa mkuu wa wilaya Kuna mgahawa mdogo maeneo hayo ila sehem ya starehe kama ilivyo "Why not mpaka chai au kumalija hamna"Kisarawe town.. kule vijijini msanga Maneromango masaki vikumburu malui chole kote huko Nina uzoefu hapo sana. Nauliza kuhusu kisarawe Center hapo.
Hapo sawa ama asogee pineapple pubatakaekutana nae sio lazima mteule....maana kataka sehemu sio mtu
Powa powaNami nimekujibu kwa experience ya kisarawe center pale ni hakuna KIWANJA Cha starehe ila labda pub ndogo ndogo mfano ukiwa unaelekea kwa mkuu wa wilaya Kuna mgahawa mdogo maeneo hayo ila sehem ya starehe kama ilivyo "Why not mpaka chai au kumalija hamna"
Njoo kibutaWajuvi tujulishane basi kuhusu sehemu za starehe ndani ya wilaya ya kisarawe mjini.
With much thanks in advance