hannibali
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 468
- 427
Habari zenu ndugu zangu na poleni na majukumu, haya tena kwa mara nyingine tena kijana wenu hannibali mkata shombo nipo kuzungumza na Jamii.
Sasa bhana kama tunavojua kila siku watu tunapaswa kubadilika yaani kiufupi tusipende kufanya vitu kwa mazoea na ikibidi tuache kabisa kwani mazoea ni kilema..sasa bhana tuongee kwa pamoja wewe utaacha lini hivi vitu vifuatavyo
1. Utaacha lini kuoga uchi
2. Utaacha lini kushika inye ulimaliza kujisaidia
3. Utaacha lini kukojoa huku umeshika ududu (kwa wanaume)
4. Utaacha lini kujishika kunani halafu unanusa
5. Mwisho kabisa utaacha lini kuingia JF
Haya tiririka hapa tuone
Sasa bhana kama tunavojua kila siku watu tunapaswa kubadilika yaani kiufupi tusipende kufanya vitu kwa mazoea na ikibidi tuache kabisa kwani mazoea ni kilema..sasa bhana tuongee kwa pamoja wewe utaacha lini hivi vitu vifuatavyo
1. Utaacha lini kuoga uchi
2. Utaacha lini kushika inye ulimaliza kujisaidia
3. Utaacha lini kukojoa huku umeshika ududu (kwa wanaume)
4. Utaacha lini kujishika kunani halafu unanusa
5. Mwisho kabisa utaacha lini kuingia JF
Haya tiririka hapa tuone