Tukabidhi sisi jukumu la kufua na kunyoosha nguo zako

Tukabidhi sisi jukumu la kufua na kunyoosha nguo zako

Joined
Aug 10, 2023
Posts
9
Reaction score
16
Dobimaridadi Mtaalamu(specialist) wa kufua na kunyoosha nguo yupo kwa ajili yako kuhakikisha umaridadi wa muonekano wako kwa kuvaa nguo nadhifu.

Tupe nguo zako leo tukufulie/kunyoosha kwa umakini wa hali ya juu wewe leta nguo ya aina yoyote bila kujali ni ngumu kiasi gani sisi tutahakikisha inakuwa safi kama imetoka dukani.

Tunapatikana Dar es salaam(ubungo) tunaweza kuja kufua kwako au kuchukua nguo na kukuletea zikiwa safi wasiliana nasi.

Wasiliana nasi.
dobimaridadi17@gmail.com
Facebook - dobimaridadi
 
Back
Top Bottom