Tukae Chini Tufunge na Kuomba Mchawi wetu aliyeturoga Africa afe.Bila hivyo tutaendelea kubaki Misukule

Tukae Chini Tufunge na Kuomba Mchawi wetu aliyeturoga Africa afe.Bila hivyo tutaendelea kubaki Misukule

GuDume

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
6,651
Reaction score
14,337
mshana jr hili jambo unaweza lielezea zaidi. nikikaa chini nikiwaza naona kabisa sisi waafrika tumerogwa. trust me. tumerogwa si kwa mambo tunayoyafanya. hata kama wenzetu pia wanafanya basi wao wanafanya kwa style nyingine. wakati wao wanavumbua mambo mbali mbali sisi tumekazana kuua albino, kuua wenye vipara, kutishiana uchawi, kuuana na kunyanyasana.

kama suala la diamond kuzaa na sijui nani linaweza fanya shughuli kwenye media zisimame na mkuu wa mkoa naye akaingilia kati...inaumiza sana. yaani unaweza pata kizungu zungu .... kila sehemu nikipita nakuta vijana wamekaa wanabishana sana tena na kutaka kugombana "yule mtoto wake' mwingine anakwambia "yule mtoto si wake kakubali basi tu yaishe" hatufanyi mambo ya maana.

waafrika au watanzania tulirogwa. usibishe.tulirogwa hata viongozi tunaowachagua nao ni waathirika wa ulozi tuliofanyiwa na ndo maana hata mambo hayaendi sawa. kwa kias kikubwa barani afrika mambo yapo shagala bagala....

natoa wito.tukae chini na kuomba aliyeturoga naye afe.
 
what if aliye turoga alishafariki na alipoturogea hapajulikani? na je, kama ni yale matambiko waliyoyafanya kipindi nchi zinakabidhiwa uhuru yanadai kitu tena na waliosimamia walishafariki bila kuacha maagizo ya nini kifanyike?
 
Ni upuuzi kufikiri matatizo yetu ni kwasababu tumerogwa! hakuna cha kurogwa ila ujinga ndo tatizo letu!,
tunachokifanya tunatatua matatizo ambayo ni matokeo ya ujinga,wkt tunatakiwa tutatue tatizo la ujinga ndo tutakuwa tumetatuwa matatizo yetu..

mtu unaenda kusign mkataba wa madini nchi yako ipate 5% ndo maana tu maskini,na huo umaskini ndo matokeo ya ujinga wenyewe.. tumezungukwa na maziwa mabwawa na bahari tunalia maji na njaa! hakuna kurogwa ni ujinga ndo tatizo..

ati kuna mtu anakuja kunishawishi niende kanisani hlf siku kadhaa zilizopita kanisimulia ana madem kedekede na anawala! wala hata hajaoa! wkt huohuo ktk chake kimeandikwa usizini!! huu ni ujinga si kurogwa.. ndo maana nawashauli viongozi wa dini wawaelimishe waumini wao kbl ya kuamini ni aibu.

mkuu matatizo yetu yanasababishwa na ujinga wetu
huwezi kufanikiwa kama hujajitambua..
 
sasa kuna mambo mm naona ndo chanzo cha tz kuwa shimo la giza
1 mwenge wa uhuru
2 chama kung'ang'ania madaraka hapa utafute baadhi ya wilaya ambazo zimetawaliwa na watu wa vyama vyote utagundua utifauti wake na zile wilaya zilizotawaliwa na chama kimoja kwa miaka yote
 
Aliyetuloga ni yule alievuruga tamaduni zetu..
 
Back
Top Bottom