Tukate mzizi wa fitna: Uzi upi mkali?

Hawa jamaa na mirangirangi yao ya njano ya kung'aa watatuumiza macho uwanjani.
 
Wamesambaza jezi 700.Mara ohh hamna jezi zitafika baadaye.Kuiga bila mipango ndio matokeo yake hayo.Mwisho wameleta reflector.
 
yanga jezi zetu kali bhana
thats why toka jana zimeuzwa zote mpaka mashabiki wamekuja makao makuu kuulizia jezi na gsm mzigo umeisha uko upande wa pili tabu tupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…