Baada ya kufatilia uchezaji wa hawa miamba, Chama the brain football na feitoto aka KDB nmegundua jambo hili .......Kwa mpira wa kisasa feitoto ni Bora kuliko Cham.....
Ndio maana tunaitwa mambumbumbu sababu hatuji na takwimu zaidi ya majunguUtakuwa unamatatizo ya ubongo kumfananisha chama na hao wachezaji wa mchongo