No overtaking
Member
- Dec 14, 2013
- 40
- 78
Umeshajibiwa tayari na usikimbie kabila lakoMimi sio mchaga nishaainisha natokea kanda ya ziwa,
Anyway naona hii maada unaanza kuipeleka kwengine kabisa inapoteza dira, hayo mambo ya uchawi naona unayapenda sana kuyazungumzia naona yatajaza uzi, Turudi kwenye maada kuu
Tukiachana na wachaga, Kuna kabila lingine lina utamaduni wa kurudi na kujumuika kwenye vijiji vya mizizi yao nje ya misiba?
Utakimbia sana lakini ujue unajibizana na anayefahamu kwenu kwa miaka 14. Hivi mimi mnyakyusa nikikaa uchagani na kujenga nyumba ya udongo huko itahesabika ipo uchagani au iko wapi? Nimeuliza nyumba za hivyo kwenye picha zilizojengwa kwenu ni nini wewe umekimbilia palipoandikwa jina na ukoo na kuishia kusema ni upareni. Ebu shuka hapo kwa marealle secondary ingia kulia ndani huko alafu uje useme hapa. Nenda huko wa warombo anzia hapo nyuma ya nyumba zilizotazamana hicho kilodge cha golden mpaka ngoyoni alafu uje useme. Jiongeze zaidi ufike kule mnakolia na mafuriko kahe huko. Ukimaliza utuletee zile mnazojenga kwa mabanziUkoo wa kina Mchomvu ni wapare, hata mtangazaji wa clouds fm Adam Mchomvu ni Mpare
Chuki yako dhidi ya hawa wachaga itakutafuna sana,Utakimbia sana lakini ujue unajibizana na anayefahamu kwenu kwa miaka 14. Shuka hapo kwa marealle secondary ingia kulia ndani huko alafu uje useme hapa. Nenda huko wa warombo anzia hapo nyuma ya nyumba zilizotazamana hicho kilodge cha golden mpaka ngoyoni alafu uje useme. Jiongeze zaidi ufike kule mnakolia na mafuriko moshi vijijini. Ukimaliza utuletee zile za mnazojenga kwa mabanzi
Jiwe limetupwa gizani na limekupata wewe.Chuki yako dhidi ya hawa wachaga itakutafuna sana, umeshaanza mpaka kuwasingizia kina Mchomvu wanaozikwa na wapare wenzao ni wachaga, unafaidika nini ?
Waachie nafasi wanaoweza kuchangia positively kwenye uzi huu
Mbona sisi Wameru na Waarusha huu utaratibu wa kurudi December nyumbani na kuchinja upo tangu enzi na enzi?Hakuna zaid ya wachaga kwa wingi wao wengine labda waige yani wale ndo wana wa Israel
Chanzo Cha mapato hamna,mnakusanya sehemu zingine ndo mnapeleka Kilimanjaro,ukiwa nchi yenu wengi wataukataa uchagaSisi Wachagga ni kabila la tofauti. Kwenye katiba mpya tutaomba Kilimanjaro na Arusha (Wachagga, Wamasai, Wameru na Wapare/Wagweno) tuwe nchi yetu wenyewe.
Naona kama wengine mnatuchelewesha.
pengine hii komenti yako akiiona instanbul atashangaa sana.Wahaya wangekuwa wanarudi huko kwao basi kungekuwa kumejengeka huko vijijini, sio hizi picha tunazoziona vijijini kuna nyumba kibao za tope huku zile za kisasa zinahesabika zilizojengwa na wachache wanaorudi vijijini
View attachment 2812108
Kwenye issue ya ushirikina usitumie nguvu zako Bure hawatakuamini maana wakiona wachaga wamefanikiwa wanawansibisha na ushirikina maana ndivyo wanavyoamaini.Uongo, kwanza wahaya hawaendi kwao kama wachaga, tupo nao mjini January to December. Pili, wachaga ndio kabila least kwenye ushirikina, dini ya ukristo imefuta mila sana , japo kwa nadra mtu mmoja mmoja anaweza kuwa na mambo hayo, ila in general ndio kabila linaongoza kwa hofu ya Mungu, angalia idadi ya wachungaji na mapadri, we huwajui. Ignorance inakusumbua, alafu pia punguza husda. Itakusaidia.
Muongo na mzushi wewe, huwezi kudhibitisha chochote, kichwa chako kimejaa imani za kishirikina sana, wachaga nasema tena ndio kabila lilipoteza mila kuliko yote makubwa, eti umezunguka, unaweza kuzunguka ila kama ni kichwa maji huwezi kuelewa. Tuulize sisi tunaofahamu tukufahamishe vizuri, umejawa wivu, na husda tu. Watu tunachinja mbuzi, kuku, ng'ombe tunasherekea na ndugu na marafiki mnaona nongwa, jambo usiolijua ni sawa na usiku wa kiza. Kule huwa tunafanya misa za kukumbuka ndugu zetu, ubatizo nk. Wewe ambayo unajifanya unawajua kwa hisia bila facts ni mjinga tu.Acha kuongopea wasiowajua kijana. Achana na masuala ya idadi ya wachungaji na mapadri. Eti kabila least kwenye ushirikina!!. Thubutu. Ni mchaga unayetumia nguvu kuficha uozo wenu ili wanaosoma hapa waone mko sawa. Ndugu zangu walioa na kuolewa huko. Kinachoendelea huko disemba mnakijua. Nimezunguka kwenye maeneo yenu kwa miaka 14. Utaumbuka kijana. Ulishakaa chini ni kwanini mnazika sana ndugu zenu kila baada ya disemba na pasaka?. Ukijibu hilo utajua kwanini nimesema tofauti ya nyie na wahaya ni matambiko ya kichawi
Wewe unasema wahaya uko nao january to december wakari huo huo unasema unaenda kwenu disemba..sasa hiyo disemba unakuwa nao wapi??? Ukirejea post yangu iko wazi kabisa
haachiki mtu hapa............Makonda kaja kuikoleza ndoaSisi Wachagga ni kabila la tofauti. Kwenye katiba mpya tutaomba Kilimanjaro na Arusha (Wachagga, Wamasai, Wameru na Wapare/Wagweno) tuwe nchi yetu wenyewe.
Naona kama wengine mnatuchelewesha.
Weka kama unayajua, kazi kushiriki dhambi ya uongo tu.Wewe unafikiri uchawi ni kutupiana tu mabusha na kupaa kwa ungo. Pole sana. Unaweza kuniambia ni kwanini mnazika ndugu zenu sana baada ya disemba na pasaka? Unasema kusikia mganga wa kichaga lazima ustuke..ebu niambie yule mzee wa pale rau madukani ukishayapita maduka kule kwenye kona mbele anafanya nini, pale rombo maarufu kcmc kuna nini, kule vunjo kitongoji anapokaa mzee manjuu wa majengo kuna nini. Usitake tuweke wazi mambo yenu.
Katafute mganga kilimanjaro hutapata...nenda bukoba waganga wamejaaUtamduni huu upo kwa Wachaga na Wahaya tu. Wahaya wamekuwa na utamaduni huo tangu enzi na enzi. Mpaka kurudi wamekuandika kwenye vitabu vinavyotumia lugha yao. Tofauti Wahaya hawafanyi matambiko ya kichawi kama wafanyavyo wachaga. Wale walioko nje ya nchi wanakutana kwenye mizizi yao kwa muda wanaokuwa wamepanga siyo iwe kwenye kipindi kimoja cha sikukuu.
Nasema matambiko ya KICHAWI kwasababu Kilimanjaro (wilaya za wachaga) ukitoa Wapare kwa mujibu wa taarifa za NBS ndiyo inaongoza kwa kuwa na watu wenye ulemavu. Ulemavu huu si wa kuzaliwa bali ni ule wa kichwawi wa mali ambao kila disemba lazima watimize masharti ya kumwaga damu.
Nawe kamwage damu uwe tajiri kma wachaga,umaskini wako ni laanaUtamduni huu upo kwa Wachaga na Wahaya tu. Wahaya wamekuwa na utamaduni huo tangu enzi na enzi. Mpaka kurudi wamekuandika kwenye vitabu vinavyotumia lugha yao. Tofauti Wahaya hawafanyi matambiko ya kichawi kama wafanyavyo wachaga. Wale walioko nje ya nchi wanakutana kwenye mizizi yao kwa muda wanaokuwa wamepanga siyo iwe kwenye kipindi kimoja cha sikukuu.
Nasema matambiko ya KICHAWI kwasababu Kilimanjaro (wilaya za wachaga) ukitoa Wapare kwa mujibu wa taarifa za NBS ndiyo inaongoza kwa kuwa na watu wenye ulemavu. Ulemavu huu si wa kuzaliwa bali ni ule wa kichwawi wa mali ambao kila disemba lazima watimize masharti ya kumwaga damu.
Makabila yote ya Kaskazin hurud nyumbani annualNi utamaduni unaonishangaza sana, kila ikifika december wiki 2 za mwisho Wachaga wa nje ya mikoa na nje ya nchi hukusanyika pamoja kwenye sehemu za asili zao huko Kilimanjaro.
Kwa miaka kadhaa nishazoea kuona status za wachaga watatu wanaoishi nje ya nchi wanapost status wamerudi, Yupo anaeishi China jiji la Guangzou, Marekani jiji la San Fransisco na mwengine Australia jiji la Sydney.
Kurudi kwa pamoja hukutanisha kila mwaka ndugu, majirani mpaka marafiki wa utotoni, kwa wale watoto waliozaliwa huku mijini ama nje ya nchi nao wanapelekwa kuijua mizizi yao, nadhani hata kama ulikopa duka la mangi mwaka jana basi hii December utadakwa tu.
Tukija huku makabila mengine ni nadra sana, achilia mbali kabila yani hata ndugu kurudi kwa pamoja kwenye mizizi yao ni suala zito, Labda itokee kuna msiba wa babu huko kijijini watazika na kutawanyika.
Binafsi upande wa baba ni mtu wa kanda ya ziwa, Yeye alikulia kijijini huwa anarudi kila mwaka lakini mimi nilienda mara 2 tu nikiwa darasa la sita na la saba shughuli ikaishia hapo !! kwakweli ni kipindi kirefu sana kimepita, connection za kijijini zimepotea kabisa hata watoto wakiulizia kijijini kwao nawaambia ni mtaa wa mjini niliozaliwa, naowahesabia ni ndugu ni wale tunaokutana mjini ila kule kwenye mizizi nishapoteza connection.
Nipo mikoa ya Iringa ya Mbeya kuna makabila kadhaa mambo ni hayo hayo tu, tukianza na Wanyakyusa wa Mbeya waliozaliwa nje ya sehemu za mizizi yao (Tukuyu ama Kyela) hawajazoeshwa kurudi kwenye mizizi yao hata undugu ni ule wa kujuana ndugu wa mjini. Ikitokea wamerudi huko kwao labda kuwe na mazishi, hali inakuwa mbaya zaidi kwa watoto wa hawa wanyakyusa waliozaliwa mijini wanaweza hata wasipajue Tukuyu.
Wengine nao ni wakinga wa huko Njombe wapo sana hio Iringa na Mbeya, watoto wanaishia kupajua mjini tu na ndugu wa mjini, Nina rafiki aliwahi kurudi kwenye msiba wa bibi yake tu tangu hapo hapajui Makete,
Amekaa kwenu miaka 14 hivyo anawajua.Muongo na mzushi wewe, huwezi kudhibitisha chochote, kichwa chako kimejaa imani za kishirikina sana, wachaga nasema tena ndio kabila lilipoteza mila kuliko yote makubwa, eti umezunguka, unaweza kuzunguka ila kama ni kichwa maji huwezi kuelewa. Tuulize sisi tunaofahamu tukufahamishe vizuri, umejawa wivu, na husda tu. Watu tunachinja mbuzi, kuku, ng'ombe tunasherekea na ndugu na marafiki mnaona nongwa, jambo usiolijua ni sawa na usiku wa kiza. Kule huwa tunafanya misa za kukumbuka ndugu zetu, ubatizo nk. Wewe ambayo unajifanya unawajua kwa hisia bila facts ni mjinga tu.
Naona umeamua kuweka hadharani ujuha wakoUtamduni huu upo kwa Wachaga na Wahaya tu. Wahaya wamekuwa na utamaduni huo tangu enzi na enzi. Mpaka kurudi wamekuandika kwenye vitabu vinavyotumia lugha yao. Tofauti Wahaya hawafanyi matambiko ya kichawi kama wafanyavyo wachaga. Wale walioko nje ya nchi wanakutana kwenye mizizi yao kwa muda wanaokuwa wamepanga siyo iwe kwenye kipindi kimoja cha sikukuu.
Nasema matambiko ya KICHAWI kwasababu Kilimanjaro (wilaya za wachaga) ukitoa Wapare kwa mujibu wa taarifa za NBS ndiyo inaongoza kwa kuwa na watu wenye ulemavu. Ulemavu huu si wa kuzaliwa bali ni ule wa kichwawi wa mali ambao kila disemba lazima watimize masharti ya kumwaga damu.
Kweli wewe ngumbalu vipi kuna kidume cha kichaaga kilikulia demu wako nini maana sio kwa chuki na uongo huuAcha kuongopea wasiowajua kijana. Achana na masuala ya idadi ya wachungaji na mapadri. Eti kabila least kwenye ushirikina!!. Thubutu. Ni mchaga unayetumia nguvu kuficha uozo wenu ili wanaosoma hapa waone mko sawa. Ndugu zangu walioa na kuolewa huko. Kinachoendelea huko disemba mnakijua. Nimezunguka kwenye maeneo yenu kwa miaka 14. Utaumbuka kijana. Ulishakaa chini ni kwanini mnazika sana ndugu zenu kila baada ya disemba na pasaka?. Ukijibu hilo utajua kwanini nimesema tofauti ya nyie na wahaya ni matambiko ya kichawi
Wewe unasema wahaya uko nao january to december wakari huo huo unasema unaenda kwenu disemba..sasa hiyo disemba unakuwa nao wapi??? Ukirejea post yangu iko wazi kabisa