Tukiachana na wachaga, Kuna kabila lingine lina utamaduni wa kurudi na kujumuika kwenye vijiji vya mizizi yao nje ya misiba?

Acha kusingizia wengine sababu watakucheka l. Wachaga wenzio walienda kwa watu na tabia zenu mbovu undondocha mwishowe wakaumbuka kama alivyoumbuka yule ndugu yenu wa dar pale mbezi kama siyo kimara
Hao ni watu wa mwisho kabisa kwa uchawi Tanzania hii na Africa kati ya wabantu. Vi uchawi vyao ni vya kununua nunua sio kama wengine uchawi ni wa kuzaliwa na kurithi.
 
Uongo
 
Mbona sisi Wameru na Waarusha huu utaratibu wa kurudi December nyumbani na kuchinja upo tangu enzi na enzi?

Nilizaliwa na kukuta hivyo
Huku mikoani wakiona sura ya kaskazini is wote wanaita ni mchaga
 
Kuna jambo moja la msingi hatuzingatii mazingira ya kilimanjaro, Arusha na lushoto yana advantages za mtu kujenga au kurudi kwao (kijijini/ to retreat). Kwanza hali ya hewa nzuri, vyakula vipo vingi, maji ya uhakika tena chemchemi.miundombinu ni nzuri na bora.

Sio rahisi mtu wa huko awe na attitude sawa na mtu anaetoka dodoma, singida na tabora mikoa ambayo kila kitu ni kibovu.
 
Hata Mbeya tunarudi kwetu,tukianza na Wanyakyusa,Wandali,Wamalila,Wasafwa nk.Rudi Nyumbani December.
 
Hata Mbeya tunarudi kwetu,tukianza na Wanyakyusa,Wandali,Wamalila,Wasafwa nk.Rudi Nyumbani December.
Ndio yale Mbeya hali ya hewa rafiki Tukuyu maji yapo vyakula vya kila aina sasa mtu wa Tukuyu kweli utalinganisha na mtu wa Bahi dodoma au kaliua Tabora??
Kuna maeneo hata maji ya kuoga hakuna
 
Ujumbe wako ni nini. Huo utamaduni wa kishamba unataka hata wenye akili za wauige? hii nchi ni moja tulia ulipo ndio kwako si unaishi km mkimbizi ndani ya nchi yako.
 
Hakuna watu washirikina km wachaga nchi hii.
 
Was
WAsikudanye hao matapeli. Uchagani kuna umaskini hakuna sehemu upo nchi hii. Nenda vijijini hasa wilaya ya Rombo watu wamekimbia kuna shule imeandikisha watoto 3 tu darasa la kwanza. Kule hakufai unakufa njaa
 
Ujumbe wako ni nini. Huo utamaduni wa kishamba unataka hata wenye akili za wauige? hii nchi ni moja tulia ulipo ndio kwako si unaishi km mkimbizi ndani ya nchi yako.
Hahahaah hapana mkuu kujenga nyumbani kama una resources pia unainua local economy kuna advantages lakin pia value ya property iko namna gani unapojenga.... kujenga kijijini kilimanjaro au meru kule property ina thamani sawa tu na mjini sio kama kujenga manyoni au sengerema..

Nimewahi uliza bei za plot Lushoto nikaona sawa tu na baadhi ya sehem za mijini
 
Hujui chochote kuhusu wachagga, tumia hiyo nguvu kuondoa ujinga huko kwenu
 
Sisi Wachagga ni kabila la tofauti. Kwenye katiba mpya tutaomba Kilimanjaro na Arusha (Wachagga, Wamasai, Wameru na Wapare/Wagweno) tuwe nchi yetu wenyewe.

Naona kama wengine mnatuchelewesha.
Ukienda deep sio ajabu ukakuta nyie ndio mnachelewesha wengine😀.

Kwanza ni poor mentality na haina lengo zuri tunapoanza iu clarify vitu kwa kuegemea makabila.

Hili suala huwa linapelekea hata katika nafasi watu kutaka kubebana.

Naamini asilimia kubwa ya watoa topic hizi wana vi element vya UPUMBAVU,UJINGA na/au USHAMBA.

UPUMBAVU NA UJINGA unaondolewa na maarifa halisi.
USHAMBA unaondolewa na kujichanganya au kuchanganyia,sina uhakika na tafsiri,lakini nimemaanisha EXPOSURE.

Kwa sasa local exposure imekuwa lakini WAJINGA na WAPUMBAVU ni wengi na wapo katika maeneo ya kufanya maamuzi katika nafasi mbalimbali serikalini na sekta binafsi.

Anyway kuna kina wenu wengi tu wanasukuma ma toroli ya maji Dar, wanapambana na hizi menial task aisee
 
Umetoa povu sana!
 
Exposure sisi tulishapata zamani bwashee wakati nyie mkiwa mnavaa ngozi.

Haimaanishi kuwa hakuna wachaga wanao struggle ila ukweli ni kuwa tulishawaacha mbali mnatuchelewesha tu
 
Wewe mhaya maskini sitegemei usifie matajiri Wachaga,utamaduni wetu ni unique Tangu enzi na enzi,HII ni kutokana n'a elimu
Kuhusu matambiko,hakuna Kabila lisilo na Mila
Wachaga sio wachawi kama nyie na shuntama zenu
Uchawi Kagera upo mkali hasa miambao ya ziwa


Nb

Wachaga ni Moja ya jamii zilizo staarabika mapema,Hadi kufikia miaka ya 1930's jamii ya Wachaga ilimiliki gazeti lake
Hâta viongozi WA uchagani kipindi hicho walikuwa na elimu kubwa,mfano Mangi mareale alikuwa na masters ya uchumi kutoka Cambridge UK
Pichani ni Mangi akiongoza kikao chá Baraza kuu mwaka WA 1957,picha ya pili ni wagonbea umangi wakiwa kwenye usaili, just imagine viongozi wetu walikuwa smart hivyo miaka hiyo,tutashindwa kupata maendeleo?
 
Unaongea usichokijua
Wachaga desember ni kwa ajili ya holiday
Ila vikao Vya kifamilia hufanyika throughout the year
Ndio maana ruti za mabasi kutoka mikoani kuja uchagani ndio inaongoza
Mfano wilaya ya rombo pekee zipo ruti za Kila Siku kwa mikoa ifuatayo
Rombo dar (mabasi Zaidi ya 10 daily)
Rombo MWANZA (Basi mbili)
Rombo singida(Basi mbili)
Rombo dom(basi 4)
Rombo kahama(Basi mbili)
NK
HII ni ushahidi kuwa Wachaga wanafanya movement throughout the year not only in December

Nb
Makampuni ya mabasi almost 40% yanamililiwa na Wachaga hâta kwenu bukoba tumewapelekea mabasi mfano
Happy national, Osaka, Kandahar ,mumuki nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…