MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Inawezekana kabisa ila inabidi tuache ujanja.
Inabidi tuanzishe shule ya kitaifa ya mpira,tuwe na watoto kuanzia miaka 7 waanze kufundishwa mpiara,klabu ziwekeze kwenye academy.
Tuwe na scouting nzuri kila pembe ya nchi yetu,kila mtoto mwenye kipaji apate fursa.
Watu wa TFFwaache kupanga vikosi.
Mpira hauna ujanja ujanja,Belgium wameweza kwanini sisi tushindwe?
Inabidi tuanzishe shule ya kitaifa ya mpira,tuwe na watoto kuanzia miaka 7 waanze kufundishwa mpiara,klabu ziwekeze kwenye academy.
Tuwe na scouting nzuri kila pembe ya nchi yetu,kila mtoto mwenye kipaji apate fursa.
Watu wa TFFwaache kupanga vikosi.
Mpira hauna ujanja ujanja,Belgium wameweza kwanini sisi tushindwe?