Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Watu wengi now tumekalili suruali tunavalia kiunoni when in effect it's hips na kiuno kipo kw kitovu that's why baba na Babu zetu suruali ndo walikuwa wanavalia juu kabisa na kutuona cc wahuni tukishusha chini. Now hata tukienda kwa fundi wanapima hips wanadhani kiuno. No Kiuno kipo sehem ya kitovu. Tupopazoea ni Hips. That's why magauni ya wanawake pale katikati pembamba na imepanda ndo kiuno.