Tukifanikiwa kuisambaratisha corona kwa mitishamba, tuhamie kwa virusi vya UKIMWI

Tukifanikiwa kuisambaratisha corona kwa mitishamba, tuhamie kwa virusi vya UKIMWI

kaligopelelo

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2013
Posts
2,832
Reaction score
4,070
Habarini za asubuhi.

Wakuu kwa juhudi tunazofanya kupigania uhai wetu,ni dhahiri shida huongeza maarifa.
Ukija kuangalia ugonjwa wa covid-19 kwa sura yake na namna ulivyoondoka na uhai wa watu wengi kwa muda mfupi.

Na pia kwa namna ambayo tulikuwa tunatabiliwa mazito hasa waafrika na wale wenye ngozi nyeupe wanaoishi ulaya na amerika. Kuwa huenda dunia ikashuhudia waafrika wakipukutika Kama kuku wanaougua homa ya mdondo. Lakini kinachoendelea mpaka sasa nadhani kinastaajabisha,mi niseme tu mola wetu mlezi anatupigania.

Harakati zetu zikazaa matunda kwa nchi ya Madagascar ambao kwa utafiti wao wamefanikiwa kugundua dawa ya mitishamba inatengenezwa kutokana na mti unaoitwa ARTEMISIA. Na dawa hiyo wakaiita jina la covid organic.

Covid organic umefanikiwa kuponya watu kadhaa Madagascar hatakama WHO hawataki kuitambua dawa kuwa inaweza kutibu Covid-19.

Harakati hizo za kupambana kuhakikisha tunaokoa uhai wetu na wa familia zetu zikapelekea kugundua kile tunachokiita kumuwahi mdudu kabla hajaweka makazi. Tukaja na mbinu ya kujifukiza. Bila shaka kupitia mbinu hii pia Kuna natija inayopatikana, hasa kwa watu wengi ambao walikutwa na tatizo, na wengine ambao walijihisi kuwa ni wagonjwa kupata ahueni baada ya kupiga nyungu.

Bila ya shaka ugunduzi zaidi unaweza ukaendelea na watu watakuja kubaini dawa maridhawa ya kuponesha korona moja kwa moja.

Hivyo nilikuwa ninaomba kwa juhudi hizo tulizozifanya kwa covid-19 tuhamishie kwa VIRUSI VYA ukimwi navyo ibaki stori. Tuache kuwasubiri wazungu kuwa ndio tegemeo letu,na badala yake tutumie akili zetu ma rasilimali zetu katika ubunifu na ugunduzi.

20200430220820_1442791883_480_640_webp.jpg
 
Hawa watu Wana roho mbaya sana
Washenzi wale,,ila mchina ndo kawakomoa kwelikweli,,walipeleka corona,,mchina akawageuzia ubao na Sasa watapukutika mpaka Basi,
Trump kabaki kulaumu tu haamini kilichotokea na hawezi kuitisha China Kama alivyozoea kunyanyasa vinchi vidogo
 
Yaani dr omoro alinyakuliwa ju juu kisa kagundua dawa ya ukimwa .na tiba za mitishamba yaani ndege ya America ilikuja usiku kimya kimya walibebwa familia yote .mpaka na wageni walioenda kwa doctor usiku huo walibebwa .hadi leo hajulikani yupo wapi ingawa ni miaka imepita sasa
 
Yaani dr omoro alinyakuliwa ju juu kisa kagundua dawa ya ukimwa .na tiba za mitishamba yaani ndege ya America ilikuja usiku kimya kimya walibebwa familia yote .mpaka na wageni walioenda kwa doctor usiku huo walibebwa .hadi leo hajulikani yupo wapi ingawa ni miaka imepita sasa
Hawa wamerekani sio watu wazuri Kwetu hata kidogo,Nashangaa kwanini Putin anawachelesha
 
Washenzi wale,,ila mchina ndo kawakomoa kwelikweli,,walipeleka corona,,mchina akawageuzia ubao na Sasa watapukutika mpaka Basi,
Trump kabaki kulaumu tu haamini kilichotokea na hawezi kuitisha China Kama alivyozoea kunyanyasa vinchi vidogo
Daah
 
Yaani dr omoro alinyakuliwa ju juu kisa kagundua dawa ya ukimwa .na tiba za mitishamba yaani ndege ya America ilikuja usiku kimya kimya walibebwa familia yote .mpaka na wageni walioenda kwa doctor usiku huo walibebwa .hadi leo hajulikani yupo wapi ingawa ni miaka imepita sasa
Aisee.... Jameni.. Loh, Hivi hizi mambo ni miradi ya mabepari.
 
Back
Top Bottom