Mkuu umefika wapi?Yani hata uganda wakituachia lesotho watakaza tu washinde sisi tusishinde tu MUNGU saidia tupigwe tusiende popote kuna dhuluma na ushenzi mwingi ubaendelea nchi yetu tupigwe tu kabisa
Nenda kanye sasa,,,Yani hata uganda wakituachia lesotho watakaza tu washinde sisi tusishinde tu MUNGU saidia tupigwe tusiende popote kuna dhuluma na ushenzi mwingi ubaendelea nchi yetu tupigwe tu kabisa
Mkuu mechi unaionaje? Hawa ndo waganda unaowafahamu wakisakata kambumbu?
Je ile ni penati halali? Alieambiwa ameshika hajashika na hajalalamika inawezekana kirahisi?
AFCON tutatia aibu ya karne
Atakuwa mgandaMarudio uliyaona mkuu! ile ni clear penati! Pole sana kama hufurahishwi na matokeo ya timu yetu ya Taifa. Uzalendo kwanza. Leo hakuna cha ccm wala chadema. Taifa Stars kwanza.
Duh.
Mbona ilikuwa halali kbs ile.Mkuu mechi unaionaje? Hawa ndo waganda unaowafahamu wakisakata kambumbu?
Je ile ni penati halali? Alieambiwa ameshika hajashika na hajalalamika inawezekana kirahisi?
AFCON tutatia aibu ya karne
😂😂😂 Hii siyo Uganda ni kahuruma tu
Post tena upuuzi wakoKufuzu kwa kutegemea mtu fulani afungwe ni ngumu sana. Niwashauri tuiunge mkono Simba tu bila kujali itikadi za kisoka au chama wala dini
Mimi ni mtanzania na nafurahia mema ya timu yetu ila hatuna kiwango kabisaaaaaa review tena clip ya penati uone hakugusa mpiraMarudio uliyaona mkuu! ile ni clear penati! Pole sana kama hufurahishwi na matokeo ya timu yetu ya Taifa. Uzalendo kwanza. Leo hakuna cha ccm wala chadema. Taifa Stars kwanza.
[emoji23][emoji23][emoji23]me nasubiria aanze safari yake ya kutoka mwengeMshenzi mkubwa wewe kajinyonge, tumefuzu
Watu sio wazuri kabisa kwamba aanze kutandika uharooooUmeanza kunya?
Umekiona kikosi?Hatuna kikosi cha kumfunga Uganda labda watuonee huruma tu.
Cc; Kaguta M7
Maapizo mengine, mmmmmm!Yani hata uganda wakituachia lesotho watakaza tu washinde sisi tusishinde tu MUNGU saidia tupigwe tusiende popote kuna dhuluma na ushenzi mwingi ubaendelea nchi yetu tupigwe tu kabisa
Kwenye Mpira hakunaga huruma, Labda kama mnacheza lede..Hatuna kikosi cha kumfunga Uganda labda watuonee huruma tu.
Cc; Kaguta M7