Tukikamilisha miradi ya Stiegler's Gorge na SGR pekee. Ona habari hii na fanya hesabu kuhusu sisi kuendelea kukopesheka na utathimini tunaelekea wapi

Kama kweli Magufuli atajenga SGR yote niko tayari akope ata trillion 100. Katika kitu ambacho nataman kikamilike ni hii SGR. Pia akiboresha na reli ya Tanga-Arusha na mwendelezo wake toka Arusha hadi mara niko tayari kutoa sadaka ka hela kangu nilikokusanya PPF.
Ila akifanya ununuzi wa wapinzani sitamwelewa...
 
Walisema gas ingeshusha bei ya umeme maradufu. Ikawa riwaya tu. Huenda hii ikawa riwaya pia.
Gas ndiyo itakayoshusha gaharama za umeme, zungukeni tengenezeni mapesa mtarudi huko huko gas ndiyo energy rahisi, mnapenda sana sana uongo
 
Walisema gas ingeshusha bei ya umeme maradufu. Ikawa riwaya tu. Huenda hii ikawa riwaya pia.
Gas ndiyo itakayoshusha gaharama za umeme, zungukeni tengenezeni mapesa mtarudi huko huko gas ndiyo energy rahisi, mnapenda sana sana uongo
 
Walisema gas ingeshusha bei ya umeme maradufu. Ikawa riwaya tu. Huenda hii ikawa riwaya pia.
Gas ndiyo itakayoshusha gaharama za umeme, zungukeni tengenezeni mapesa mtarudi huko huko gas ndiyo energy rahisi, mnapenda sana sana uongo
 
Walisema gas ingeshusha bei ya umeme maradufu. Ikawa riwaya tu. Huenda hii ikawa riwaya pia.
Gas ndiyo itakayoshusha gaharama za umeme, zungukeni tengenezeni mapesa mtarudi huko huko gas ndiyo energy rahisi, mnapenda sana sana uongo
 
Walisema gas ingeshusha bei ya umeme maradufu. Ikawa riwaya tu. Huenda hii ikawa riwaya pia.
Gas ndiyo itakayoshusha gaharama za umeme, zungukeni tengenezeni mapesa mtarudi huko huko gas ndiyo energy rahisi, mnapenda sana sana uongo
 
Majizi mnaumia sana.
 
Ndugu yangu nataka kukupa elimu tuu angalia tazara, ni mradi ulikuwa mkubwa juu ya uwezo wa ncni mbili , zambia na tanzania, leo unasua sua kwa sababu hatukuwa na uwezo wakuumiliki na kuutunza, ukienda vituo vya tazara, au workshop ya maghula, au hata dar workshop utalia, hakuna kitu, sababu kubwa ni kuwa chumi zetu ni ndogo hatuna uwezo kuhimili repair and maintenance ya miradi mikubwa, nenda national stadium mpya watu wamevunja machoo, umeme bulb haziwaki etc etc, kitu gani kinChokupa tumai, kuwa SGR itakuwa tofauti? Tofauti iliyotakiwa na endelezo la uchumi watu wawe na ajira, wakulima waweze kupata kipato kikubwa etc etc, tunavyofanya ni kinyume kabisa actually mnatusomesha halafu nyie mnatumia primitive thinking kuendesha nchi hatuendi
 
Hapo hauna la maana unaongea chuki za kijinga. Kama ulitumbuliwa kwa namna moja au nyingine tatizo ni lako si la miradi.

Unaongelea matengenezo? Unafikiri Arab Contractors watakuja hivihivi?

Elewa tu, miradi mikubwa huwa inaambatana na financing package. Stiegler haina tofauti.
 
Siyo chumi ndogo. Wezi.
 
I wish i can educate you nimegundua huna uwezo wa kuelewa, nakuacha hivyo hovyo
 
Reactions: etb
Gharama ya ujenzi wa Bwawa sio 11 Trillion Bali ni 6.55 Trillion. Taarifa hii haiaminiki

Hiyo 6.5t ndio iliyotangazwa. Wakati rais anahubiri mwanzoni kujenga huo mradi alikuwa anasema utakuwa wa 3t. Leo ndani ya muda mfupi anasema ni 6.5t. hapo unategemea hiyo figure unayoaambiwa ni kweli?
 
Tayari el sewedy jusi wamekopa usd 500 million kuanza huu mradi, unless serikali ya egypt huko mbele watakusamehe, angekuwa mzungu ningekuwa na uhakika , deni liko pale pale acheni uongo
Chanzo cha habari yako ndiyo tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…