Tukikutana tena itakuwaje?

Tukikutana tena itakuwaje?

gervase

Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
41
Reaction score
5
Nilimpenda kwa mara ya kwanza akanipenda. Nilikuwa mwaminifu kwake na kimsingi tulipendana sana. Ni miaka 11 hatujaonana. Tulitengana baada ya masomo yetu, barua na picha alizonitumia baada baada ya masomo zipo. B,se of changing address tulipotezana. I hope she is married now as I am. Tulitengana kwa amani na mara kadhaa huwa namuota ndotoni. Natamani kumwona kwa sasa ila naiheshimu family yangu. Napenda tukutane ila naogopa tunaweza kukumbushana ya wakati ule...suppose we meet maishani itakuwaje? Nawasilisha zigo hilo kwenu great thinkers.
 
wakati mnapotezana hiyo miaka 11 iliyopita mlikuwa na umri gani?
 
kama umeoa na yeye ameolewa tuliza mzuka,,, angalia familia yako...
 
Gervase angalia sana isije kua Obsession 11 years is too long, ni mbaya sana.
 
Tuliachana when i was 22 and she was about 19 yrs. Mara kadhaa najifanya kumsahau nashindwa. Hata wale tuliofahamiana here in btn nilishawasahau, bt not her!
 
Back
Top Bottom