Tukimaliza madini tuhamie nyumba za Serikali

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Nyumba za serikali ziliuzwa kwa bei ya ubuyu. Thamani tu ya ardhi kutokana na maeneo zilipokuwa zimejengwa ni kubwa kuliko hata majengo yenyewe. Rais Magufuli ni wazi kuwa analifahamu hili hasa kutokana na weledi wake kwenye ardhi na ujenzi. Naomba baada ya kumaliza kuweka sawa kwenye madini na viwanda vilivyouzwa kwa bei ya vibua tuhamie kwenye kurudisha au kudai bei halisia ya nyumba zile ili waliozinunua ama wazirudishe au waongeze hela kulingana na bei halisi ya soko ya nyumba hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…