Wickama
JF-Expert Member
- Mar 8, 2009
- 1,466
- 1,196
Wanaukumbi,
Christopher Columbus ni jina linalohusishwa uvumbuzi la bara la Amerika. Potelea mbali utata wa kama ndiye aliyefika wa kwanza maeneo hayo au la. Inajulikana pia kuwa Columbus alikuwa ameshiba imani ya dini yake na hata baadhi ya maeneo aliyofanikiwa kuyaona aliyaita majina yanayoambata na imani yake.
Utata wa bwana huyu ni kuhusu safari yake ya kwanza kuelekea huko bara la Amerika. Imeripotiwa kuwa Christopher Columbus alimfuata Mnajimu wa nyota ili amtazamie kheri na shari ya safari yake kabla hajasafiri.
Mnajimu huyu, alimweleza Columbus kuwa baadhi ya nyota zilikuwa zimefungamana vizuri zikiashiria kuwa kungetokea tukio kubwa la kihistoria na kwa maana hiyo kumpa "go-ahead" ya safari. Safari hii ya columbus ndio iliyoliona bara la Amerika na kumwingiza katika histotia iliyotukuka.
Source: Christopher Columbus consulted an astrologer named Pierre D'ailly about the journey which eventually led to his ‘discovery' of America | DidYouKnow
Nauliza, kwa desturi hii ya Columbus kumtafuta mtu huyu wa nyota kwanza kabla hajasafiri ni halali kumuita gwiji huyu Mshirikina? Au ku-consult nyota kabla ya kufanya jambo sio ushirikina?
Christopher Columbus ni jina linalohusishwa uvumbuzi la bara la Amerika. Potelea mbali utata wa kama ndiye aliyefika wa kwanza maeneo hayo au la. Inajulikana pia kuwa Columbus alikuwa ameshiba imani ya dini yake na hata baadhi ya maeneo aliyofanikiwa kuyaona aliyaita majina yanayoambata na imani yake.
Utata wa bwana huyu ni kuhusu safari yake ya kwanza kuelekea huko bara la Amerika. Imeripotiwa kuwa Christopher Columbus alimfuata Mnajimu wa nyota ili amtazamie kheri na shari ya safari yake kabla hajasafiri.
Mnajimu huyu, alimweleza Columbus kuwa baadhi ya nyota zilikuwa zimefungamana vizuri zikiashiria kuwa kungetokea tukio kubwa la kihistoria na kwa maana hiyo kumpa "go-ahead" ya safari. Safari hii ya columbus ndio iliyoliona bara la Amerika na kumwingiza katika histotia iliyotukuka.
[h=3]ASTROLOGY, FAMOUS PEOPLE, HISTORY[/h][h=1]Christopher Columbus consulted an astrologer named Pierre Dailly about the journey which eventually led to his discovery of America[/h][h=2][/h]Christopher Columbus consulted an astrologer named Pierre DAilly about the journey which eventually led to his discovery of America.
DAilly told Columbus that Saturn and Jupiter were going to be conduct during this time and that this conjunction usually meant that some big historical event was going to happen.
Source: Christopher Columbus consulted an astrologer named Pierre D'ailly about the journey which eventually led to his ‘discovery' of America | DidYouKnow
Nauliza, kwa desturi hii ya Columbus kumtafuta mtu huyu wa nyota kwanza kabla hajasafiri ni halali kumuita gwiji huyu Mshirikina? Au ku-consult nyota kabla ya kufanya jambo sio ushirikina?
